Rais Samia azindua jengo la Safina
Ataka kufundisha maadili kwa vijana

RAIS Samia Suluhu Hassan amezindua mesifu jengo la kitega uchumi la Kanisa la Anglikana Tanzania Dayosisi ya Central Tanganyika lililopewa jina la Safina House jijini Dodoma.
Jengo hilo ambalo tayari limeshapata wapangaji ikiwemo Benki ya NMB litakuwa likiingiza mapato ya shilingi bilioni moja kwa mwaka na limejengwa kwa gharama ya shilingi bilioni nane.
Akizindua jengo hilo leo Agosti 15, 2023 mjini Dodoma, Rais Samia amesema jengo hilo limebadili mandhari na kuwa ya kupendeza.
“Jengo hili la kitega uchumi ni la aina yake kwa usanifu na mwonekano wake, nimefika hapa leo nikasema wao, nimejitahidi kufanya michoro mizuri kule Magufuli City, lakini hapa mmenipiga kidogo, kwa hiyo tutashirikiana na wachoraji waje watuchoree mengine ambayo yanaendelea kujengwa hapa Dodoma,”amesema Rais Samia
Aidha, amelitaka Kanisa hilo kuendelea kulinda maadili, kukemea maovu na kufundisha maadili kwa vijana pamoja na kukemea watu wazima wanaolitumia Kanisa kufanya mambo ya hovyo.
Single Mom With 4 Kids Lost Her Job But Was Able To Stay On Top By Banking Continuously DOLLER 1500 Per Week With An Online Work She Found Over The Internet…
Check The Details HERE….. https://webonline76.blogspot.com/
TECHNOLOJIA YA UZAZI LEO
INCUBATOR YA KUZALISHA WATOTO WACHANGA WA BINADAMU.
✓Inazaliza watoto wachanga 20 kwa wakati mmoja. Huzalisha pia Ng’ombe, Ng’uruwe na Mbuzi. Ina ufanisi mkubwa wa zaidi ya 98% ni full automatic na inageuza mtoto mchanga yenyewe. Ina mfumo rafiki sana kutumia. inatunza joto kwa zaidi ya masaa 75 baada ya umeme kukatika. iko stable na precise kwenye controlling ya joto na unyevu. utapata ofa ya drinker na feeder seti moja bure. ni mpya kabisa.
GHARAMA TSH CENT 1