Rais Samia azindua kituo cha umeme Mpomvu – Geita

Rais Samia azindua kituo cha Umeme Geita

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan akibonyeza kitufe kuzindua Kituo cha kupokea, kupooza na kusambaza umeme cha Mpomvu Geita tarehe 15 Oktoba, 2022.

 

Advertisement

 

 

 

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan akikata utepe kuzindua Kituo cha kupokea, kupooza na kusambaza umeme cha Mpomvu Geita tarehe 15 Oktoba, 2022.

Add a comment

Toa Jibu

Barua-pepe haitachapishwa. Fildi za lazima zimetiwa alama ya *