Rais Samia azuru kwa Magufuli

Jengo la Makumbusho ya Hayati Magufuli JPM

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania  Samia Suluhu Hassan akikagua jengo la Makumbusho la Rais wa Awamu ya Tano Hayati Dkt. John Pombe Magufuli nyumbani kwake Chato Mkoani Geita tarehe 15 Oktoba, 2022.

Rais Samia kwa Magufuli

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan akiomba dua kwenye Kaburi la Rais wa Awamu ya Tano Hayati Dkt. John Pombe Magufuli nyumbani kwake Chato Mkoani Geita tarehe 15 Oktoba, 2022.

Advertisement
Add a comment

Toa Jibu

Barua-pepe haitachapishwa. Fildi za lazima zimetiwa alama ya *