Rais Samia kufanya ziara India

WAKATI Rais Samia Suluhu Hassan akitarajia kufanya ziara ya kitaifa ya siku nne nchini kiwango cha biashara kati ya Tanzania na India kimetajwa kuwa ni Dola bilioni 3.14 mwaka 2020 ikilinganishwa na Dola bilioni 2.14 mwaka 2017.

India inauza zaidi kwa Tanzania kwa tofauti ya Dola milioni 500.

Hayo yamesemwa na Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, January Makamba leo Oktoba 5, 2023 jijini Dar es Salaam. Makamba amesema ziara hiyo itaanza kuanzia Oktoba 8 hadi 11 mwaka huu.

Amesema, ziara hiyo inafanyika ikiwa imepita miaka minane tangu ziara ya mwisho ya kiongozi wa Tanzania kutembelea nchini India.

Amesema, madhumuni ya ziara hiyo ni kuimarisha uhusiano wa kihistoria uliokuwepo wa muda mrefu kati ya nchi hizo mbili hususani kwenye sekta za kimkakati ikiwemo viwanda, afya, elimu, biashara, ulinzi na usalama, uchumi wa buluu, sekta ya maji na sekta ya kilimo.

Makamba amesema kuwa lengo la ziara hiyo ni kutafuta fursa za biashara na uwekezaji ili kuvutia wawekezaji kutoka India kuja kuwekeza nchini kwa kuwa India ni nchi kubwa na ina mtaji mkubwa, hivyo itasaidia kukuza biashara inayokua kwa kasi kati ya nchi hizo mbili.

Kwa mujibu wa Makamba, ziara hiyo ya Rais Samia inatarajiwa kuleta manufaa kadha wa kadha kwa Tanzania ikiwemo Watanzania kupata fursa za mafunzo katika nyanja mbalimbali nchini India na itazaa nafasi 1,000 za mafunzo katika sekta mbalimbali.

Habari Zifananazo

Subscribe
Notify of
guest
4 Comments
Oldest
Newest Most Voted
Inline Feedbacks
View all comments
Edna
Edna
2 months ago

Earn money in USA, high scores from trusted resources. Work at your own pace. Regular Payments. Search in different job categories. Work anywhere on your vs03 computer, laptop or mobile phone. Update your profile at any time.
.
.
Detail Here———->>> http://Www.Smartcash1.com

Last edited 2 months ago by Edna
PatriciaPhillips
PatriciaPhillips
2 months ago

I’ve gained only within four weeks by comfortably working part-time from home. Immediately when I had lost my last business, mtg I was very troubled and thankfully
following website___________ http://Www.Careers12.com

Last edited 2 months ago by PatriciaPhillips
Donna Lentz
Donna Lentz
2 months ago

I­ g­e­t­ p­a­i­d­ o­v­e­r­ 220 D­­­­­­­­­­o­­lla­­­­rs p­e­r­ h­o­u­r­ w­o­r­k­i­n­g­ f­r­o­m­ h­o­m­e­ w­i­t­h­ 2 k­i­d­s­ a­t­ h­o­m­e­. i­ n­e­v­e­r­ t­h­o­u­g­h­t­ i­’d­ b­e­ a­b­l­e­ t­o­ d­o­ i­t­ b­u­t­ m­y­ b­e­s­t­ f­r­i­e­n­d­ e­a­r­n­s­ o­v­e­r­ 15k­ a­ m­o­n­t­h­ d­o­i­n­g­ t­h­i­s­ a­n­d­ s­h­e­ c­o­n­v­i­n­c­e­d­ m­e­ t­o­ t­r­y­. it was all true and has totally ch­a­n­g­e­d­ ­m­y­ l­i­f­e­. T­h­i­s­ ­i­s­ ­w­h­a­t­ ­I­ ­d­o­,­ ­c­h­e­c­k­ ­i­t­ ­o­u­t­ ­b­y­ ­V­i­s­i­t­i­n­g ­F­o­l­l­o­w­i­­n­­g ­W­e­b­s­­i­t­e

CO­PY HE­RE →→ http://Www.Smartwork1.com

JaylenJordin
JaylenJordin
2 months ago

★ I’m making $90 an hour working from home. ( z66q) i was greatly surprised at the same time as my neighbour advised me she changed into averaging $100 however I see the way it works now. I experience mass freedom now that I’m my non-public boss. Everybody must try this job now by just using this website..
CLICK HERE ——————->> http://www.SmartCareer1.com

Last edited 2 months ago by JaylenJordin
Back to top button
4
0
Would love your thoughts, please comment.x
()
x