Rashford nje dhidi ya Fulham

MARCUS Rashford hajajumuishwa kwenye kikosi cha Man United kinachoanza mchezo wa EPL dhidi ya Fulham leo.

Kwa mujibu wa taarifa ya mwandishi wa habari, Fabrizio Romano uamuzi wa Ten Hag kutomuanzisha Rashford hauhusiani na tukio la kusherehekea siku yake ya kuzaliwa baada ya kipigo cha mabao 3-0 dhidi ya Man City wiki iliyopita, tukio lililokemewa na kocha huyo.

Kuelekea mchezo huo, Varane ameanzia nje, Mount Mason pia benchi.

Kikosi kinachoanza cha Man United: Onana; Wan-Bissaka, Maguire, Evans, Dalot; McTominay, Eriksen, Fernandes; Garnacho, Antony; Hojlund.

Habari Zifananazo

Subscribe
Notify of
guest
1 Comment
Oldest
Newest Most Voted
Inline Feedbacks
View all comments
Wandaeay
Wandaeay
28 days ago

I’ve gained only within four weeks by comfortably working part-time from home. Immediately when I had lost my last business, mtg I was very troubled and thankfully
following website___________ http://Www.Careers12.com

Last edited 28 days ago by Wandaeay
Back to top button
1
0
Would love your thoughts, please comment.x
()
x