Ratiba kombe la shirikisho hii hapa

SHIRIKISHO la Soka Tanzania (TFF) limetoa ratiba ya michezo ya Ngao ya Jamii itakayochezwa katika uwanja wa Mkwakwani Jijini Tanga kuanzia August 9, 2023.

Ratiba hiyo inaonesha mchezo wa kwanza kesho  Agosti 9,2023 utakuwa kati ya Yanga dhidi ya Azam FC.

Mchezo wa pili Agosti 10, 2023 Simba dhidi Singida.

Advertisement

Mshind wa mchezo wa kwanza atakutana na mshindi wa mchezo wa pili kumpata bingwa. Na akayepoteza mchezo wa kwanza atakutana na atakayepoteza mchezo wa pili.

4 comments

Toa Jibu

Barua-pepe haitachapishwa. Fildi za lazima zimetiwa alama ya *