RC Mtwara: Waandishi msiangalie maslahi binafsi

MKUU wa Mkoa wa Mtwara, Kanali Ahmed Abbas amewataka waandishi wa habari mkoani Mtwara kuacha tabia ya kutanguliza maslahi binafsi pindi wanapokuwa wanatakeleza majukumu yao ya uandishi kupitia kazi za maendeleo ndani ya mkoa.

Pia amewataka maafisa habari mkoani humu kuweka utaratibu mzuri wa kuitangaza miradi yote ya kimkakati na maendeleo ambayo inatekelezwa ndani ya mkoa na kutoa ushirikiano kwa vyombo vya habari.

Abbas ametoa wito huo leo Novemba 20, 2023 wakati akizindua jukwaa la Habari na Mawasiliano Mkoa wa Mtwara.

Jukwaa hilo lenye kauli mbiu ya ‘Tumia Vema Kalam una Kamera ya Kulinda Heshima ya Mwanahabari’ limelenga kuwawezesha wanahabari kupata muda wa kujifunza, kujitathimini kupitia kazi ambayo wanaifanya kuhabarisha umma ndani na nje ya Mtwara.

Habari Zifananazo

Subscribe
Notify of
guest
2 Comments
Oldest
Newest Most Voted
Inline Feedbacks
View all comments
MCHAGA KANIPA HELA
MCHAGA KANIPA HELA
18 days ago

Mbunge wa KWANZA MZUNGU KWENYE BUNGE LA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA… KUWAKILISHA HELA ZA WORD BANK, IMF, MISAADA KUTOKA ULAYA… N.K – ZA KUJENGEA BARABARA, RELI, FLYOVER,

https://sw.wikipedia.org/wiki/Mzungu_Kichaa

HELA ZAO HAZINA MWAKILISHI – KAMA FUNDI ANAHITAJI NYUMBA YAKE KWA SABABU ALIJENGA YEYE (MCHAGA KANIPA HELA)

Melissick
Melissick
18 days ago

I’ve gained only within four weeks by comfortably working part-time from home. Immediately when I had lost my last business, mtg I was very troubled and thankfully
following website___________ http://Www.Careers12.com

Last edited 18 days ago by Melissick
Back to top button
2
0
Would love your thoughts, please comment.x
()
x