RC Njombe ashauri wizara tatu kushirikiana teknolojia

MKUU wa Mkoa wa Njombe, Antony Mtaka amezishauri Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia, Wizara ya Viwanda na Biashara pamoja na Wizara ya Kilimo kushirikiana ili kuendeleza teknolojia zitakazowezesha kufanya vizuri zaidi kwa ajili ya kutatua changamoto mbalimbali katika jamii.
Ushauri huo ameutoa alipotembelea banda la Tume ya Sayansi na Teknolojia (Costech) katika maonesho ya nane nane yanayoendelea mkoani Mbeya.
Amesema kwa wizara hizo kushirikiana itaongeza tija kwa kuwa serikali inaendelea kuuwisha tume hiyo iweze kuendeleza tafiti na bunifu zinazofanywa na vijana katika maeneo mbalimbali nchini.
Pia amepongeza tume hiyo kwa kubeba dhana ya Kilimo Biashara kwa kuwa ni taasisi inayosaidia watafiti na wabunifu.
Zambia Revenue Authority
Are you tired with your job good opportunity be09 Online Working Home Base Jobs for you here.
Copy This Site…………………………………. http://www.join.salary49.com
I’ve profited $17,000 in just four weeks by working from home comfortably part-time. I was devastated when I lost my previous business right away, but happily, I found this project, which has allowed me to get thousands of dollars from the comfort cfs06 of my home. Each person may definitely complete this simple task and earn extra money online by
visiting the next article———>>> https://tradecash1.blogspot.com/
Looking for Alice Arm seams is the worldwide indigenous nuts for all to nil to everyone.
https://globaljournals.org/GJMBR_Volume15/5-Mining-and-First-Nations.pdf