Rodri aumia Man City

KIUNGO mkabaji wa Manchester City, Rodrigo Cascante ‘Rodri’ ameumia na kulazimika kuondoka uwanjani katika mchezo dhidi ya Fluminence mashindano ya Klabu Bingwa ya Dunia.

Rodri ameonekana akiugulia maumivu ya goti, na hivyo kulazimika kuondolewa uwanjani.

Hata hivyo inasubiriwa ripoti ya madaktari wa City kuona ni kwa kiasi gani majeraha hayo yana ukubwa.

Advertisement

Licha ya kuumia kwa Rodri pia taarifa njema ni urejeo wa kiungo mshambuliaji Kevin De Bruyne.

2 comments

Toa Jibu

Barua-pepe haitachapishwa. Fildi za lazima zimetiwa alama ya *