Rooney kocha mpya Birmingham

ALIYEKUWA mchezaji wa Manchester United, Wayne Rooney ameteuliwa na klabu ya Birmingham City kuwa kocha mkuu na kusaini mkataba wa miaka mitatu.

Rooney anachukua nafasi hiyo baada ya siku kadhaa zilizopita kuachana na DC United ya Marekani.

“Nimefurahi kuwa hapa. Ni wazi kabisa kwamba wana mpango. Ni mradi ambao unanipa hisia ya kusudi na siwezi kusubiri kuanza”.

2 comments

Toa Jibu

Barua-pepe haitachapishwa. Fildi za lazima zimetiwa alama ya *