Rooney kocha mpya Birmingham

ALIYEKUWA mchezaji wa Manchester United, Wayne Rooney ameteuliwa na klabu ya Birmingham City kuwa kocha mkuu na kusaini mkataba wa miaka mitatu.

Rooney anachukua nafasi hiyo baada ya siku kadhaa zilizopita kuachana na DC United ya Marekani.

“Nimefurahi kuwa hapa. Ni wazi kabisa kwamba wana mpango. Ni mradi ambao unanipa hisia ya kusudi na siwezi kusubiri kuanza”.

Habari Zifananazo

Subscribe
Notify of
guest
2 Comments
Oldest
Newest Most Voted
Inline Feedbacks
View all comments
Nancynglin
Nancynglin
1 month ago

I’ve gained only within four weeks by comfortably working part-time from home. Immediately when I had lost my last business, mtg I was very troubled and thankfully
following website___________ http://Www.Careers12.com

Last edited 1 month ago by Nancynglin
Work AT Home
Work AT Home
1 month ago

I make $100h while I’m daring to the furthest corners of the planet. Last week I worked by my PC in Rome, Monti Carlo finally Paris… This week I’m back in the USA. All I do are basic tasks from this one cool site. see it, 

Copy Here→→→→→ http://Www.Smartcash1.com

Last edited 1 month ago by Work AT Home
Back to top button
2
0
Would love your thoughts, please comment.x
()
x