Rooney kocha mpya Birmingham

ALIYEKUWA mchezaji wa Manchester United, Wayne Rooney ameteuliwa na klabu ya Birmingham City kuwa kocha mkuu na kusaini mkataba wa miaka mitatu.
–
Rooney anachukua nafasi hiyo baada ya siku kadhaa zilizopita kuachana na DC United ya Marekani.
–
“Nimefurahi kuwa hapa. Ni wazi kabisa kwamba wana mpango. Ni mradi ambao unanipa hisia ya kusudi na siwezi kusubiri kuanza”.
I’ve gained only within four weeks by comfortably working part-time from home. Immediately when I had lost my last business, mtg I was very troubled and thankfully
following website___________ http://Www.Careers12.com
I make $100h while I’m daring to the furthest corners of the planet. Last week I worked by my PC in Rome, Monti Carlo finally Paris… This week I’m back in the USA. All I do are basic tasks from this one cool site. see it,
Copy Here→→→→→ http://Www.Smartcash1.com