Roy Kean: Bruno avuliwe unahodha

KUMEKUCHA huko Manchester, mkongwe wa zamani wa Manchester United, Roy Keane anataka kiungo wa timu hiyo, Bruno Fernandez avuliwe unahodha.
“Baada ya kumtazama tena ningemvua unahodha kwa asilimia 100. Najua ni uamuzi mgumu, lakini Fernandes sio nahodha.” Keane ambaye kwa sasa ni mchambuzi wa soka alisema kupitia Televisheni ya Sky Sport.
“Ni mchezaji mwenye kipaji hakuna mjadala kuhusu hilo. Lakini nilichoona leo tumejadili mara nyingi kabla, ilikuwa msimu uliopita dhidi ya Liverpool, manung’uniko, kulalamika na kurusha mikono hewani kila mara haipendezi.” Alisema Keane.
Kauli ya Keane imekuja mara baada ya jana United kupoteza mchezo wa EPL dhidi ya Man City mabao 3-0 uwanja wa Old Trafford.
I’m making $90 an hour working from home. I never imagined that it was honest to goodness yet my closest companion is earning 16,000 US dollars a month by working on the connection, that was truly astounding for me, she prescribed for me to attempt it simply. Everybody must try this job now by just using this website…
More infor…. http://Www.Smartwork1.Com
★ Just start making over $600 a day from your timeshare home. ( m77q) I made $18,781 from this job in my spare time after college. easy work and his steady income is amazing. No skills are required for this job. All you need to know is how to copy and paste items online. Sign up today by following the details on this page.
Click and Copy Here══════►►► http://Www.SmartCareer1.com