Saka aondolewa England

MSHAMBULIAJI wa Arsenal, Bukayo Saka ameondolewa kwenye kikosi cha England kinachojiandaa kufuzu mashindano ya Euro dhidi ya Australia na Italia kutokana na majeraha.
Saka alikosa ushindi wa 1-0 wa timu yake dhidi ya Manchester City Jumapili kutokana na jeraha la misuli ya paja.
Shirikisho la soka England ‘FA’ limethibitisha nyota huyo kuondolewa baada ya kufanyiwa uchunguzi na timu ya madaktari ya Uingereza.
England itamenyana na Australia tarehe 13 Oktoba, kabla ya kukutana na Italia katika mechi ya kufuzu kwa Euro siku nne baadaye.
I am making $100 an hour working from home. I never imagined that it was honest to goodness yet my closest companion is earning $16,000 a month by working on a laptop, that was really dumbfounding for me, she prescribed for me to attempt it simply. Everybody must try this for this job now by just using
this site link… http://Www.Smartcash1.com