Samia ahamasisha Uwekezaji

PWANI: Rais Samia Suluhu Hassan, amesema milango ipo wazi kwa wawekezaji wanaotaka kuwekeza Tanzania katika harakati za kuendelea kukuza uchumi wa Taifa.

Rais Samia ameyasema hayo leo Septemba 20, 2023 Mkoa wa Pwani alipokuwa akizungumza na wananchi wa mkoa huo.

“Serikali imefanya maboresho mengi ya kisera na kikanuni, ili kuhakikisha mazingira ya uwekezaji na biashara yanakuwa bora zaidi,” amesema Rais Samia.

Amesema wawekezaji kutoka ndani na nje ya nchi hawapaswi kuwa na mashaka yoyote, kwani mali zao zitakuwa salama na na uwekezaji wao utakuwa na faida huku pia serikali ikifaidika kupitia kodi.

Habari Zifananazo

Subscribe
Notify of
guest
3 Comments
Oldest
Newest Most Voted
Inline Feedbacks
View all comments
Deanna Morgan
Deanna Morgan
2 months ago

I have a home-based business and make a respectable $60k per week, which is incredible given that a year ago I was unemployed due to a poor economy. I was given these instructions as a gift, and it is now my ne-02 responsibility to spread kindness and make them available to everyone.
This Page Provides Details—————>>> https://workscoin1.pages.dev/

JacquettaPeyton
JacquettaPeyton
2 months ago

I’ve made $84,000 so far this year working online and I’m a full time student. I’m using an online business opportunity I heard about and I’ve made such great money. It’s really user friendly and I’m just so happy that I found out about it. (a 45w) The potential with this is endless.
Visit This Website——->> http://Www.SmartCareer1.com

MicheleMoran
MicheleMoran
2 months ago

I am now making more than 350https://s.w.org/images/core/emoji/14.0.0/svg/1f4b0.svg dollars per day by working online from home without investing any money.Join this link posting job now and start earning without investing or selling anything……. 
🙂 AND GOOD LUCK.:)..____ http://Www.Careers12.com

Last edited 2 months ago by MicheleMoran
Back to top button
3
0
Would love your thoughts, please comment.x
()
x