Samia aongoza kikao Kamati Kuu CCM

Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan,leo Mei 21,2023 ameongoza kikao maalum cha Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM Taifa, kilichofanyika Ikulu mpya ya Chamwino Dodoma iliyozunduliwa rasmi jana.

Advertisement
Add a comment

Toa Jibu

Barua-pepe haitachapishwa. Fildi za lazima zimetiwa alama ya *