Samia ataja Mikoa vinara mimba za utotoni

DAR ES SALAAM: Wakati Tanzania ikiendelea na mapambano dhidi ya mimba za utotoni kuna baadhi ya mikoa bado changamoto hiyo ipo kwa kiasi kikubwa hivyo kutia doa harakati za mapambano hayo.
Rais Samia Suluhu Hassan akizungumza katika uzinduzi wa Ripoti ya Utafiti wa Afya ya Uzazi na Mtoto na viashiria vya Malaria Tanzania ya mwaka 2022 katika ukumbi wa Kimataifa wa Mikutano wa Julius Nyerere (JNICC) Dar es Salaam leo, Oktoba 28, 2023, amesema
Ripoti hiyo imeonesha mikoa inayoongoza mimba za utotoni ni Songwe asilimia 45, Ruvuma asilimia 37, Katavi asilimia 34, Mara asilimia 31 na Rukwa asilimia 30.
Kiongozi huyo wa nchi amesema mikoa ya Dodoma, Kigoma, Tabora na Shinyanga imefanikiwa kupunguza mimba za utotoni na kwamba mikoa hiyo inahitaji pongezi.” Ameongeza.
Sote tunao wajibu wa kulinda maisha ya watoto wetu tutimize wajibu wetu, ripoti hii inaonesha kumekuwa na mafanikio katika kupunguza mimba za utotoni kutoka asilimia 27 mwaka 2015/2016 hadi asilimia 22 mwaka 2022, tumepunguza asilimia 5,” amesema Rais Samia.
Pia Rais Samia amewataka viongozi kutoka mikoa yenye idadi kubwa ya mimba za utotoni kujitathimini na kufahamu sababu ya ukubwa wa tatizo hilo katika maeneo yao.
Ametolea mfano Mkoa wa Dar es Salaam amesema mimba za utotoni zimeongezeka kutoka asilimia 11.9 hadi 18.1.
“Mkoa wako (wa Dar es Salaam), Albert Chalamila mmerudi nyuma…mmelegeza wapi sjui, kajiangalieni muwalinde watoto wenu. mmelegeza wapi sjui?” amehoji.
I’ve gained only within four weeks by comfortably working part-time from home. Immediately when I had lost my last business, mtg I was very troubled and thankfully
following website___________ http://Www.Careers12.com
I just got paid $7268 to work on my laptop this month. And if you think that’s cool, my divorced friend has toddler twins and made over $13,892 in the first month. It’s great to earn a lot of money while others have to work for much lower wages.
That’s what I do…….. http://Www.CareersHome.online
While working component time, I make more than $7k every month. I decided to have a look at it after saving hearing other people tell me how much money they could make online. Well, everything worked out just well and has undoubtedly changed my life.
.
.
Detail Here—————————————————————->>> http://Www.BizWork1.Com
Work At Home For USA My buddy’s aunt makes $64/hr on the computer. She has been unemployed for eight months(a) but last month her but pay check was $12716 just working on the computer for a few hours.
Check The Details HERE……… http://remarkableincome09.blogspot.com