Samia atengua uteuzi Mkurugenzi wa Jiji Mwanza

RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan ametengua uteuzi wa Mkurugenzi wa Halmashauri ya Jiji la Mwanza Sekiete Yahaya Selemani kuanzia Aprili 16, 2023.

Taarifa hiyo imethibitishwa na Mkurugenzi wa Mawasiliano Ikulu, Zuhura Yunus.

Advertisement
Add a comment

Toa Jibu

Barua-pepe haitachapishwa. Fildi za lazima zimetiwa alama ya *