Samia avunja bodi TCRA
Ateua bosi mpya NIC

DODOMA: RAIS Samia Suluhu Hassan amevunja Bodi ya Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) pia amemteua Mkurugenzi mpya wa Shirika la Bima la Taifa.
Taarifa ya Ikulu Mawasiliano iliyotolewa leo Novemba 9,2023 inasema kuwa Rais Samia amevunja bodi hiyo ya TCRA tangu juzi Novemba 7, 2023.
Bodi hiyo ilikuwa ikiongozwa na Mhandisi Othman Sharif Khatib ambae alikua Mwenyekiti, Makamu Mwenyekiti ni Khalfan Saleh na wajumbe ni Dk Mzee Suleiman Mndewa, Fatuma Simba, Ikuja Abdallah, Batenga Katunzi na Rehema Jessica Khalid.
Aidha, taarifa hiyo inasema kuwa Rais Samia amemteua Kaimu Abdi Mkeyenge kuwa Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Bima la Taifa (NIC).
Kabla ya uteuzi huo, Mkeyenge alikua Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Meli Tanzania (TASAC), anachukua nafasi ya Dk Elirehema Doriye ambae anapangiwa majukumu mengine.
Pia, Rais Samia amemteua Balozi Said Hussein Massoro kuwa Balozi wa Tanzania nchini Kuwait, akichukua nafasi ya Balozi Said Shahib Musa ambae ameteuliwa kuwa Naibu Katibu Mkuu kuwa Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki.
Awali, Massoro alikua Mkurugenzi Mkuu wa Idara ya Usalama wa Taifa (TISS) nafasi aliyoteuliwa January 3, 2023 akichukua nafasi ya Athuman Diwani.
Hata hivyo nafasi hiyo alidumu kwa kwa siku 238 tu ambapo Agosti 28 mwaka huu Rais Samia alimteua kuwa Balozi na nafasi yake kuchukuliwa na Balozi Ali Idi Siwa.
Aidha, amemteua Balozi James Gilawa kuwa Balozi wa Tanzania nchini Afrika Kusini akichukua nafasi ya Balozi Meja Jenerali Gaudence Milanzi ambae amestaafu.
TANGAZO
KAMPUNI YA WOTE COMPANY LIMITED INAWATANGAZIA VIJANA WA TANZANIA AJIRA 1 KWA MTANZANIA ATAKAE SAMBAZA UFISADI/WIZI/UHARIBIFU KWENYE KILA NYUMBA MIJINI NA VIJINI
AFRICA INDUSTRIALIZATION POLICY 2400
TANGAZO
KAMPUNI YA WOTE COMPANY LIMITED INAWATANGAZIA VIJANA WA TANZANIA AJIRA 1 KWA MTANZANIA ATAKAE SAMBAZA UFISADI/WIZI/UHARIBIFU KWENYE KILA NYUMBA MIJINI NA VIJINI..
Investment ACT 2500
WATANZANIA 3 WANATAFUTWA… 1. MKULIMA MKUBWA (TAASISI ZA SERIKALI) 2. MKULIMA WA KATI (MWEKEZAJI MKUBWA SANA) 3. MKULIMA MDOGO (ANAYELIMA NYUMBANI)
WATANZANIA 3 WANATAFUTWA… 1. MKULIMA MKUBWA (TAASISI ZA SERIKALI) 2. MKULIMA WA KATI (MWEKEZAJI MKUBWA SANA) 3. MKULIMA MDOGO (ANAYELIMA NYUMBANI)..
WATANZANIA 3 WANATAFUTWA… 1. MKULIMA MKUBWA (TAASISI ZA SERIKALI) 2. MKULIMA WA KATI (MWEKEZAJI MKUBWA SANA) 3. MKULIMA MDOGO (ANAYELIMA NYUMBANI)…
WATANZANIA 3 WANATAFUTWA… 1. MKULIMA MKUBWA (TAASISI ZA SERIKALI) 2. MKULIMA WA KATI (MWEKEZAJI MKUBWA SANA) 3. MKULIMA MDOGO (ANAYELIMA NYUMBANI)……
I am looking it
USALAMA KAZI MHE TUTAFANYA KWA AJILI YA “MLIMA KILIMAJARO” – LAZIMA TUFANYE KITU KWA AJILI YA TANZANIA USALAMA WETU TUKITEMBELE
Everybody can earn 500 dollars Daily…(Qx) Yes! you can earn more than you think by working online from home. I have been doing this job for like a few weeks and my last week payment was exactly 25370 dollars.
.
.
.
COPY This Website OPEN HERE……….> > > http://remarkableincome09.blogspot.com