SENSA2022: Zaidi ya Watu milioni 10 wamehesabiwa

Zaidi ya watu milioni 10 wamehesabiwa

MRATIBU wa Sensa Kitaifa, Seif Kuchengo amesema zoezi la sensa linaendelea vizuri kitaifa ambapo hadi jana zaidi ya wananchi milioni kumi walikuwa wameshahesabiwa huku idadi ya wanaume ikiwa asilimia 51.

7 na wanawake wakiwa asilimia 48.

3.

Advertisement

Kuchengo amesema Idadi kubwa ya watu waliohesabiwa ni kutoka Mikoa ya Dar es Salaam, Mwanza na Shinyanga.

/* */