Serikali bega kwa bega na sungusungu

MKUU wa Mkoa wa Shinyanga, Christina Mndeme amesema serikali itaendelea kulisimamia jeshi la jadi maarufu ‘sungusungu’ nakulishauri sababu linasaidia suala la ulinzi na usalama pamoja na kuhamasisha maendeleo.
Mndeme amesema hayo jana alipokuwa mgeni rasmi katika mkutano mkuu wa sungusungu kwa Kanda ya Ziwa uliokutanisha mikoa mitatu ya Simiyu, Mwanza na Shinyanga nakufanyika kijiji cha Busanga wilayani Kahama.
Mndeme akiwa mshauri na mlezi wa sungusungu ndani ya mkoa huu aliwataka sungusungu kushiriki kulinda miradi ya maendeleo inayotekelezwa na serikali maeneo yote.
Mndeme amesema jeshi la jadi liendelee kulinda amani iliyopo ili isipotee na kuwaepuka watu wenye nia mbaya na kupinga vitendo vya ukatili kwa wanawake na watoto.
Mndeme amesema serikali katika mkoa wa Shinyanga imeleta jumla ya Sh trilioni 1 kutekeleza miradi ya maendeleo na uendeshaji wa sekta mbalimbali.
I’ve gained only within four weeks by comfortably working part-time from home. Immediately when I had lost my last business, mtg I was very troubled and thankfully
following website___________ http://Www.Careers12.com
My last pay check was $9500 working 12 hours a week online. My sisters friend has been averaging 15k for months now and she works about 20 hours a week. I can’t believe how easy it was once I tried it out.
This is what I do…. http://Www.Smartcash1.com