Serikali kumaliza foleni kwenye mizani

BUNDA, Mara: Serikali inatarajia kutenga Sh bilioni 81 kwa ajili ya ujenzi wa mizani ya kupima magari yakiwa kwenye mwendo (weigh in motion) kote nchini ili kuondoa msongamano na kupunguza muda wa kupima magari.
Waziri wa Ujenzi, Innocent Bashungwa amesema hayo wilayani Bunda mkoani Mara wakati akikagua mradi wa ujenzi wa mzani wa kupima magari wa Rubana.
“Tathmini tuliyoifanya ya kubadilisha mizani yote nchini kwenye miaka mitatu ijayo ya bajeti kuanzia mwaka 2024/25 tuweke bajeti kwa awamu, hiyo bajeti ya Sh bilioni 81 tuigawe kwa tatu ili kila mwaka tuwe na kiasi cha fedha kwa ajili ya utekelezaji,” alisema Waziri Bashungwa akimuelekeza Katibu Mkuu Wizara ya Ujenzi.
Waziri amesema lengo la serikali ni kuhakikisha mizani yote nchini ambayo haina iwezo wa kupima Magari yakiwa kwenye mwendo inakuwa ni ya kisasa, kwamba tathimini ya gharama ya utekelezaji imeshafanyika.
“Hivi sasa tunajua kwamba mizani yote nchini ili iwe na weigh in motion ambayo gari haliitaji kupanga foleni ili kujua limebeba uzito kiasi gani tathimini tuliyoifanya tunahitaji kuweka kwenye mizani yote nchini kwa gharama ya Sh bilioni 81,” alisema Bashungwa.

Habari Zifananazo

Subscribe
Notify of
guest
5 Comments
Oldest
Newest Most Voted
Inline Feedbacks
View all comments
Work AT Home
Work AT Home
1 month ago

From Home Jobs Available Here We offer fair market per-page pay rates as well as access to an abundance of work qu with the expectation of significant growth for the foreseeable future.

We also offer Here:………. http://Www.Smartcash1.com

Last edited 1 month ago by Work AT Home
money
money
1 month ago

Utaongea mwenyewe kuwa KAFA LAKINI ALIJENGA GOROFA MTAA WA SABA HISTORIA YAKE TAYARI IMEANDIKWA 2023..
file:///C:/Users/User/AppData/Local/Temp/msohtmlclip1/01/clip_image002.jpg
MAANA YAKE KUFA KWA NGOMA AU MUUWAJI ANA MAANA/NGUVU/MAONO KULIKO RAIS

money
money
1 month ago

Utaongea mwenyewe kuwa KAFA LAKINI ALIJENGA GOROFA MTAA WA SABA HISTORIA YAKE TAYARI IMEANDIKWA 2023..
file:///C:/Users/User/AppData/Local/Temp/msohtmlclip1/01/clip_image002.jpg
MAANA YAKE KUFA KWA NGOMA AU MUUWAJI ANA MAANA/NGUVU/MAONO KULIKO RAIS.;

money
money
1 month ago

Utaongea mwenyewe kuwa KAFA LAKINI ALIJENGA GOROFA MTAA WA SABA HISTORIA YAKE TAYARI IMEANDIKWA 2023..
file:///C:/Users/User/AppData/Local/Temp/msohtmlclip1/01/clip_image002.jpg
MAANA YAKE KUFA KWA NGOMA AU MUUWAJI ANA MAANA/NGUVU/MAONO KULIKO RAIS TUSHIRIKISHE HISTORIA YAKO TAFADHARI!!!!!!!!?

Nancynglin
Nancynglin
1 month ago

I’ve gained only within four weeks by comfortably working part-time from home. Immediately when I had lost my last business, mtg I was very troubled and thankfully
following website___________ http://Www.Careers12.com

Last edited 1 month ago by Nancynglin
Back to top button
5
0
Would love your thoughts, please comment.x
()
x