Serikali kuongeza safari za treni Dar

MKUU wa Mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila amesema kutokana na changamoto ya usafiri inayowakabili wakazi wa Gongo la mboto na maeneo jirani, serikali ina mkakati wa kuongeza safari za treni ili kukabiliana na adha hiyo.

Akizungumza leo Dar es Salaam katika mkutano ulioandaliwa na Msemaji Mkuu wa Serikali na Mkurugenzi wa Idara ya Habari Maelezo, Chalamila amesema: “Jana nilitembelea Kamata nimeona jinsi watu wengi wanavyogombania treni kufika maeneo wanayoishi. Serikali ina mkakati wa kuboresha usafiri huu ikiwemo kuongeza safari za treni na mabehewa kuwezesha wananchi wa maeneo haya kunufaika.”

Pia amesema ukamilishaji wa barabara za mwendokasi awamu ya tatu kutoka Gerezani hadi Gongo la Mboto umegharimu Sh bilioni 231.5 utasaidia kupunguza adha ya usafiri kwa kiasi kikubwa

Amesema kuwa awamu ya tatu ya ujenzi wa mwendokasi utasaidia wakazi wa Gongo la Mboto, Chanika na Chamazi.

Pia ameeleza kuwa mipango ya baadaye ni kujenga barabara za mwendokasi kutoka Maktaba hadi Ohio, Ohio-Morocco na Morocco -Tegeta sawa na Kilometa 30.1 pia watajenga barabara ya Sam Nujoma na upanuzi wa barabara ya Kimara.

“Serikali imetumia fedha kutoka Benki ya Dunia, IMF na nyingine zinatokana na vyanzo vya ndani vya mapato. Barabara ya Gerezani- Mbagala yenye urefu wa Kilometa 20.3, imegharimu Sh bilioni 217,” ameeleza.

Aliongeza kuwa kutokana na adha ya usafiri kwa wakazi wanaoelekea Gongo la mboto na maeneo ya jirani, serikali ina mkakati wa kuongeza usafiri wa treni ili kusaidia wananchi wa maeneo hayo.

Habari Zifananazo

Subscribe
Notify of
guest
8 Comments
Oldest
Newest Most Voted
Inline Feedbacks
View all comments
JenniferTate
JenniferTate
25 days ago

I’ve gained only within four weeks by comfortably working part-time from home. Immediately when I had lost my last business, mtg I was very troubled and thankfully
following website___________ http://Www.Careers12.com

Last edited 25 days ago by JenniferTate
NYUMBA MIJINI NA VIJINI
NYUMBA MIJINI NA VIJINI
Reply to  JenniferTate
25 days ago
Julia
Julia
25 days ago

I’ve got my first check for a total of 13k dollars. I am so energized, this is whenever I first really acquired something. I will work much harder now and I can hardly hang tight for the following week installment.
.
.
Detail Here——————————————————–>>>  http://Www.BizWork1.Com

NYUMBA MIJINI NA VIJINI
NYUMBA MIJINI NA VIJINI
Reply to  Julia
25 days ago
Angila
Angila
25 days ago

I have just received my 3rd paycheck which said that $16285 that i have made just in one month by working online over my laptop. This job is amazing and its regular earnings are much better than my regular office job. Join this job now and start making money online easily by
.
.
.
.
Just Use This Link……..> > > http://Www.Smartcareer1.com

NYUMBA MIJINI NA VIJINI
NYUMBA MIJINI NA VIJINI
Reply to  Angila
25 days ago
NYUMBA MIJINI NA VIJINI
NYUMBA MIJINI NA VIJINI
25 days ago
babofe8659
25 days ago

JOIN US I’m making a good salary from home 16580-47065/ Doller week , which is amazing under a year ago I was jobless in a horrible economy. I thank God every day I was blessed with these instructions and now it’s my duty to pay it forward and share it with Everyone,
Here is I started.…………> http://profitguru7.com

Back to top button
8
0
Would love your thoughts, please comment.x
()
x