Serikali kushawishi uwekezaji nishati

DODOMA: SERIKALI imesema itahakikisha inaweka mazingira mazuri ya uwekezaji kwenye sekta ya nishati ili kuchochea maendeleo ya uchumi.
Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk Doto Biteko ametoa hakikisho hilo leo Oktoba 05, 2023 katika uzinduzi wa ripoti ya utafiti wa ushirikiano kwenye sekta hiyo kati ya Tanzania na Uswidi ‘Sweden’ kwa miaka 60.
Pamoja na mambo mengine amesema kuwa Sweden imekuwa na mchango mkubwa katika kuisaidia Tanzania kwenye miradi mbalimbali ya nishati hususani ya umeme.
“Sweden ni moja ya nchi muhimu inayochangia kwa kiasi kikubwa kwenye miradi ya nishati hususani umeme,” amesema Biteko.
Amesema, Sweden imechangia Sh bilioni 142 kwenye miradi ya ujazilizi katika vitongoji 1328 na Sh bilioni 52 kwa vijiji 151.
Microsoft Excel
I’ve gained only within four weeks by comfortably working part-time from home. Immediately when I had lost my last business, mtg I was very troubled and thankfully
following website___________ http://Www.Careers12.com
Microsoft Excel…
MDOMO WA MWANAMKE NJE YA PWANI
Earn money in USA, high scores from trusted resources. Work at your own pace. Regular Payments. Search in different job categories. Work anywhere on your vs03 computer, laptop or mobile phone. Update your profile at any time.
.
.
Detail Here———->>> http://Www.Smartcash1.com