Serikali yatoa kauli ongezeko bei za vyakula

SERIKALI imewahakikishia Watanzania kuwa hakuna maeneo yatakayokosa chakula kwa kuwa inayo hifadhi ya kutosha huku ikisisitiza kuwa, bei ya bidhaa nyingi ikiwamo ya chakula ni nafuu Tanzania ukilinganisha na nchi nyingine za Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC).

Aidha, imesema ni kosa la kisheria kwa wafanyabiashara kupandisha kiholela bei ya bidhaa hasa vyakula hususani wakati wa sikukuu za Krismasi na Mwaka Mpya na kwamba mfanyabiashara anayefanya hivyo anaweza kushitakiwa kosa la uhujumu uchumi.

Naibu Waziri wa Uwekezaji, Vi[1]wanda na Biashara, Exaud Kigahe alisema hayo Dar es Salaam jana wakati akizungumzia mwenendo wa bei za bidhaa muhimu nchini kwa mwezi Desemba 2022.

“Kupitia ushindani wa haki, kuna hatua mbalimbali dhidi ya anayekiuka na kupandisha bei kiholela ikiwamo kufutiwa leseni au kufikishwa mahakamani kwa kuwa huo ni uhujumu uchumi,” alisema Kigahe.

Kigahe alibainisha kuwa serikali inafanya juhudi mbalimbali kudhibiti mfumuko wa bei nchini ikiwamo kuweka ruzuku kwenye mafuta hali iliyopunguza gharama za usafirishaji na kupunguza baadhi ya kodi katika malighafi za uzalishaji bidhaa.

Alisema kutokana na juhudi hizo za serikali, bidhaa nyingi zikiwamo za chakula na vifaa vya ujenzi, ni nafuu ukilinganisha na baadhi ya nchi wanachama wa EAC.

“Mwenendo wa upatikanaji wa bidhaa za mafuta ya petroli duniani zinazochangia mfumuko wa bei umeendelea kuimarika na bei za bidhaa hizo zimeendelea kushuka na hivyo kupunguza gharama za uagizaji, usafirishaji na uagizaji wa bidhaa na malighafi zinazotumika katika uzalishaji kutoka nje ya nchi,” alisema.

Akithibitisha nafuu ya bei ya mazao nchini ukilinganisha na nchi nyingine za EAC, Kigahe alisema kwa mujibu wa Mpango wa Chaku[1]la Duniani (WFP) na Global Product Prices, nchini Uganda bei ya mafuta ya kupikia imekuwa wastani wa Sh 7,900; Sh 8,000 Rwanda; Sh 10,000 Kenya; lakini kwa Tanzania ni wastani wa Sh 6,200.

“Mahindi ni wastani wa Sh 1,500 Rwanda, 1,850 Uganda, 1,880 Kenya, lakini Tanzania ni Sh 1,275.

“Aidha, bei ya unga wa mahindi ni wastani wa Sh 2,200 nchini Rwanda, Sh 2,500 Uganda, Sh 2,538 Kenya, lakini Tanzania ni wastani wa Sh 1,625,” alisema.

Aliongeza: “Wastani wa bei ya mchele kwa Rwanda ni Sh 2,700, Sh 3,500 Uganda na Sh 4,136 Kenya, lakini kwa Tanzania ni Sh 2,850 pekee.”

Akifafanua hali hiyo, Naibu Waziri alisema: “Licha ya mfumuko wa bei kutokana na athari za vita kati ya Urusi na Ukraine, majanga mengine kama Covid-19 na ukame, mfumuko wa bei nchini Tanzania ni wa kiwango cha chini zaidi ikilinganishwa na nchi jirani.”

Aliongeza: “Kwa Tanzania mfumuko wa bei kwa mwezi Novemba ni asilimia 4.9; Kenya asilimia 7.38, Uganda asilimia 10.6 na Rwanda asilimia 21.7.”

Alisema serikali imeiagiza Tamisemi kuhakikisha maeneo husika yanakuwa na soko la pamoja ili kuwafanya wafanyabiashara wakiwamo wakubwa kutoka nje ya nchi, kununua mazao hayo sokoni badala ya shambani au nyumbani kwa kutumia vipimo visivyo halali vya ‘lumbesa’ na ‘kangomba’.

“Hatua hii pia itasaidia kuonge[1]za mapato ya halmashauri kupitia ushuru…” alisema.

Habari Zifananazo

38 Comments

  1. I feel that is one of the so much vital information for me.
    And i’m glad studying your article. However should observation on few basic issues, The website style
    is great, the articles is in point of fact excellent : D.
    Just right job, cheers

  2. Hi there it’s me, I am also visiting this web site daily, this
    site is actually nice and the people are truly sharing nice
    thoughts.

  3. Hi! This is my 1st comment here so I just wanted to give a quick shout out and tell you I genuinely enjoy
    reading your posts. Can you suggest any other blogs/websites/forums that go over the
    same subjects? Many thanks!

  4. Cryptify Hub 是领先的加密教育平台,专注为香港及亚洲用户提供免费的区块链入门课程、比特币原理、DeFi
    安全指南及投资实战策略。我们相信,知识是抵御市场风险的最佳资产。

  5. What’s up everybody, here every person is sharing these know-how, thus it’s nice to read this website, and I used to go to see this weblog every day.

  6. Hi everyone, it’s my first pay a visit at this web page, and article is genuinely fruitful in support of me, keep up posting such posts.

  7. I need to to thank you for this very good read!! I definitely loved every bit of it. I have got you bookmarked to look at new things you post…

  8. fantastic publish, very informative. I ponder why the opposite experts of this sector do not realize this. You must proceed your writing. I’m sure, you have a huge readers’ base already!

  9. I’m amazed, I must say. Rarely do I encounter a blog that’s both equally educative and engaging, and without a doubt, you have hit the nail on the head. The problem is something too few men and women are speaking intelligently about. I’m very happy that I found this in my hunt for something concerning this.

  10. Very nice post. I just stumbled upon your weblog and wished to
    say that I’ve really enjoyed surfing around your
    blog posts. After all I will be subscribing for your rss feed and I’m hoping
    you write again soon!

  11. I’ll immediately clutch your rss feed as I can not in finding your e-mail subscription link or newsletter service. Do you have any? Please allow me recognise in order that I may subscribe. Thanks.

  12. Normally I do not learn post on blogs, however I would like to say that this write-up very forced me to take a look at and do it! Your writing taste has been surprised me. Thanks, quite great article.

  13. Excellent beat ! I wish to apprentice while you amend your website, how can i subscribe for a blog site? The account helped me a acceptable deal. I had been tiny bit acquainted of this your broadcast provided bright clear idea

  14. Greetings I am so excited I found your blog page, I really found you by mistake, while I was looking on Google for something else, Regardless I am here now and would just like to say many thanks for a remarkable post and a all round interesting blog (I also love the theme/design), I don’t have time to read it all at the minute but I have book-marked it and also added your RSS feeds, so when I have time I will be back to read a lot more, Please do keep up the superb job.

  15. Currently it looks like BlogEngine is the top blogging platform available right now. (from what I’ve read) Is that what you are using on your blog?

  16. Hi there! This is my first visit to your blog! We are a collection of volunteers and starting a new project in a community in the same niche. Your blog provided us useful information to work on. You have done a marvellous job!

  17. Nice blog here! Also your web site loads up fast! What web host are you using? Can I get your affiliate link to your host? I wish my website loaded up as quickly as yours lol

  18. Hey, I think your site might be having browser compatibility issues. When I look at your blog site in Ie, it looks fine but when opening in Internet Explorer, it has some overlapping. I just wanted to give you a quick heads up! Other then that, terrific blog!

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Back to top button