Serikali yatoa kauli ongezeko bei za vyakula
SERIKALI imewahakikishia Watanzania kuwa hakuna maeneo yatakayokosa chakula kwa kuwa inayo hifadhi ya kutosha huku ikisisitiza kuwa, bei ya bidhaa nyingi ikiwamo ya chakula ni nafuu Tanzania ukilinganisha na nchi nyingine za Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC).
Aidha, imesema ni kosa la kisheria kwa wafanyabiashara kupandisha kiholela bei ya bidhaa hasa vyakula hususani wakati wa sikukuu za Krismasi na Mwaka Mpya na kwamba mfanyabiashara anayefanya hivyo anaweza kushitakiwa kosa la uhujumu uchumi.
Naibu Waziri wa Uwekezaji, Vi[1]wanda na Biashara, Exaud Kigahe alisema hayo Dar es Salaam jana wakati akizungumzia mwenendo wa bei za bidhaa muhimu nchini kwa mwezi Desemba 2022.
“Kupitia ushindani wa haki, kuna hatua mbalimbali dhidi ya anayekiuka na kupandisha bei kiholela ikiwamo kufutiwa leseni au kufikishwa mahakamani kwa kuwa huo ni uhujumu uchumi,” alisema Kigahe.
Kigahe alibainisha kuwa serikali inafanya juhudi mbalimbali kudhibiti mfumuko wa bei nchini ikiwamo kuweka ruzuku kwenye mafuta hali iliyopunguza gharama za usafirishaji na kupunguza baadhi ya kodi katika malighafi za uzalishaji bidhaa.
Alisema kutokana na juhudi hizo za serikali, bidhaa nyingi zikiwamo za chakula na vifaa vya ujenzi, ni nafuu ukilinganisha na baadhi ya nchi wanachama wa EAC.
“Mwenendo wa upatikanaji wa bidhaa za mafuta ya petroli duniani zinazochangia mfumuko wa bei umeendelea kuimarika na bei za bidhaa hizo zimeendelea kushuka na hivyo kupunguza gharama za uagizaji, usafirishaji na uagizaji wa bidhaa na malighafi zinazotumika katika uzalishaji kutoka nje ya nchi,” alisema.
Akithibitisha nafuu ya bei ya mazao nchini ukilinganisha na nchi nyingine za EAC, Kigahe alisema kwa mujibu wa Mpango wa Chaku[1]la Duniani (WFP) na Global Product Prices, nchini Uganda bei ya mafuta ya kupikia imekuwa wastani wa Sh 7,900; Sh 8,000 Rwanda; Sh 10,000 Kenya; lakini kwa Tanzania ni wastani wa Sh 6,200.
“Mahindi ni wastani wa Sh 1,500 Rwanda, 1,850 Uganda, 1,880 Kenya, lakini Tanzania ni Sh 1,275.
“Aidha, bei ya unga wa mahindi ni wastani wa Sh 2,200 nchini Rwanda, Sh 2,500 Uganda, Sh 2,538 Kenya, lakini Tanzania ni wastani wa Sh 1,625,” alisema.
Aliongeza: “Wastani wa bei ya mchele kwa Rwanda ni Sh 2,700, Sh 3,500 Uganda na Sh 4,136 Kenya, lakini kwa Tanzania ni Sh 2,850 pekee.”
Akifafanua hali hiyo, Naibu Waziri alisema: “Licha ya mfumuko wa bei kutokana na athari za vita kati ya Urusi na Ukraine, majanga mengine kama Covid-19 na ukame, mfumuko wa bei nchini Tanzania ni wa kiwango cha chini zaidi ikilinganishwa na nchi jirani.”
Aliongeza: “Kwa Tanzania mfumuko wa bei kwa mwezi Novemba ni asilimia 4.9; Kenya asilimia 7.38, Uganda asilimia 10.6 na Rwanda asilimia 21.7.”
Alisema serikali imeiagiza Tamisemi kuhakikisha maeneo husika yanakuwa na soko la pamoja ili kuwafanya wafanyabiashara wakiwamo wakubwa kutoka nje ya nchi, kununua mazao hayo sokoni badala ya shambani au nyumbani kwa kutumia vipimo visivyo halali vya ‘lumbesa’ na ‘kangomba’.
“Hatua hii pia itasaidia kuonge[1]za mapato ya halmashauri kupitia ushuru…” alisema.




I feel that is one of the so much vital information for me.
And i’m glad studying your article. However should observation on few basic issues, The website style
is great, the articles is in point of fact excellent : D.
Just right job, cheers
Hi there it’s me, I am also visiting this web site daily, this
site is actually nice and the people are truly sharing nice
thoughts.
Hi, after reading this remarkable piece of writing i
am also happy to share my familiarity here with friends.
I’m gone to tell my little brother, that he should also pay a visit this weblog on regular
basis to take updated from most up-to-date news.
Hi! This is my 1st comment here so I just wanted to give a quick shout out and tell you I genuinely enjoy
reading your posts. Can you suggest any other blogs/websites/forums that go over the
same subjects? Many thanks!
I am in fact thankful to the holder of this web page who has shared this wonderful piece of writing at here.
Cryptify Hub 是领先的加密教育平台,专注为香港及亚洲用户提供免费的区块链入门课程、比特币原理、DeFi
安全指南及投资实战策略。我们相信,知识是抵御市场风险的最佳资产。
I really like looking through an article that can make men and women think. Also, thank you for allowing for me to comment!
What’s up everybody, here every person is sharing these know-how, thus it’s nice to read this website, and I used to go to see this weblog every day.
Wow, that’s what I was searching for, what a information! present here at this weblog, thanks admin of this website.
Hurrah! Finally I got a weblog from where I know how to truly take helpful facts concerning my study and knowledge.
Hi everyone, it’s my first pay a visit at this web page, and article is genuinely fruitful in support of me, keep up posting such posts.
I need to to thank you for this very good read!! I definitely loved every bit of it. I have got you bookmarked to look at new things you post…
fantastic publish, very informative. I ponder why the opposite experts of this sector do not realize this. You must proceed your writing. I’m sure, you have a huge readers’ base already!