Sh bilioni 13 kujenga stendi ya mfano mjini Geita

TAKRIBANI Sh bilioni 13 inatarajiwa kitumika kujenga kituo cha mabasi cha kisasa mjini Geita ikiwa ni sehemu ya Mradi wa Uboreshaji wa Miji Tanzania (TACTS) unaofadhiliwa na Benki ya Dunia (WB).

Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji wa Geita, Zahara Michuzi amebainisha hayo leo Oktoba 31, 2023 mara baada ya kukagua eneo lililotengwa kwa mradi huo ambalo limemegwa kutoka hifadhi ya msitu wa Usindakwe.

Zahara amesema kituo hicho cha mabasi (stendi) kinakwenda kutatua kero ya muda mrefu kwa mji na mkoa wa Geita kwani stendi ya sasa haina ubora wa miundombinu inayostahimili kutoa huduma bora.

“Hatuna stendi yenye hadhi ya mkoa wenye dhahabu na madini, mheshimiwa Rais kwa kuliona hilo ametupatia hiyo stendi na sasa hivi tupo katika hatua ya upembuzi yakinifu na hatua za manunuzi.

“Tupo hatua za kuweza kupata mkandarasi mzuri mwenye uzoefu wa kujenga stendi hizi, zenye ubora na kuvutia katika mji wetu, kwa hiyo hizo taratibu zimeanza na zinaendelea.”

Amesema hadi Disemba, 2023 taratibu zote za awali zinatarajiwa kukamilika na mikataba itasainiwa ili utekelezaji uanze kwani halmashauri imejipanga mradi ukamilike kwa wakati na ufanisi.

“Stendi ile imelenga katika kukuza mji wa Geita, kuleta fursa mbalimbali za kiuchumi, kwani kutakuwa na sehemu ya uwekezaji wa hoteli, wafanyabiashara, wamachinga, bajaji, bodaboda, mamalishe, babalishe.

“Wakandarasi ambao wanakuja Geita na kusuasua kwenye miradi, mimi ndio mkurugenzi hapa Halmashauri ya Mji wa Geita sitowavumilia, itakuw akata mti panda mti, ukinizingua tnazinguana.”

Ofisa Mipango Miji Halmashauri ya mji wa Geita, Barbara Mustapha amesema eneo la mradi ni hekta 120 kutoka hifadhi ya msitu wa Usindakwe chini ya Wakala wa Huduma za Misitu Tanzania (TFS).

Amesema stendi pekee itatumia ukubwa wa hekta 10 huku eneo linalosalia kutakuwa na vyuo vya kati, maeneo ya biashara na pamoja maeneo ya uwekezaji.

Kaimu Mhandisi wa Miundombinu na Mratibu wa TACTIC Halmashauri ya Mji wa Geita, Mhandisi Oswald Mtei amesisitiza wapo hatua za mwisho za manunuzi na kumpata mkandarasi mradi uanze kujengwa.

Habari Zifananazo

Subscribe
Notify of
guest
6 Comments
Oldest
Newest Most Voted
Inline Feedbacks
View all comments
ULIKUWA NA MRADI/PROJECT YA MATRILIONI WAKATI SUMU
ULIKUWA NA MRADI/PROJECT YA MATRILIONI WAKATI SUMU
1 month ago

Viboko 12 wakati unaingia JELA na viboko 12 wakati unatoka ukamsimulie mkeo!

Jamii yaungua kwa ULIKUWA NA MRADI/PROJECT YA MATRILIONI WAKATI SUMU YA PANYA 500 na kukimbizwa hospitali na kuruhusiwa na Daktari

Capture.JPG
Kathyalter
Kathyalter

I’ve gained only within four weeks by comfortably working part-time from home. Immediately when I had lost my last business, mtg I was very troubled and thankfully
following website___________ http://Www.Careers12.com

Last edited 1 month ago by Kathyalter
ULIKUWA NA MRADI/PROJECT YA MATRILIONI WAKATI SUM
ULIKUWA NA MRADI/PROJECT YA MATRILIONI WAKATI SUM
Reply to  Kathyalter
1 month ago

THE KINGDOM IDEOLOGY WILL BE ESTABLISHED THROUGH A NEW CONSTITUTION… WHAT KIND OF TRIBE DO YOU THINK HE’S GOING TO COME FROM?

Capture.JPG
ULIKUWA NA MRADI/PROJECT YA MATRILIONI WAKATI SUMU
ULIKUWA NA MRADI/PROJECT YA MATRILIONI WAKATI SUMU
1 month ago

Viboko 12 wakati unaingia JELA na viboko 12 wakati unatoka ukamsimulie mkeo!

Jamii yaungua kwa ULIKUWA NA MRADI/PROJECT YA MATRILIONI WAKATI SUMU YA PANYA 500 na kukimbizwa hospitali na kuruhusiwa na Daktari

….

Capture.JPG
ULIKUWA NA MRADI/PROJECT YA MATRILIONI WAKATI SUMU
ULIKUWA NA MRADI/PROJECT YA MATRILIONI WAKATI SUMU
1 month ago

SERIKALI YA WANYONGE MWAKA 2220
1. Toyota Alphard 2021 White in Kinondoni – Cars, George Mahimbo | Jiji.co.tz
2. Land Rover Range Rover Vogue 2021 Black in Kinondoni – Cars, thebluesanthonio | Jiji.co.tz
3. Land Rover Range Rover 2019 Burgundy in Kinondoni – Cars, Jm Motors Vigo | Jiji.co.tz
4. BMW X5 2008 White in Kinondoni – Cars, George Mahimbo | Jiji.co.tz
5. BMW X5 2007 Gray in Kinondoni – Cars, Cars Guru Tanzania | Jiji.co.tz
6. BMW X5 2015 White in Kinondoni – Cars, Franklin Carsforyou | Jiji.co.tz
7. BMW R-Series 2022 Blue in Kinondoni – Cars, Andrew Kingo Jr | Jiji.co.tz
8. Land Rover Range Rover Sport 2014 Blue in Kinondoni – Cars, Ndingabeipoa Tz | Jiji.co.tz
CAR Repair Home Services 24 Hours
ELIMU BURE/BILA MALIPO

Capture.JPG
Angila
Angila
1 month ago

Start your home business right now. Spend more time with your family and earn. Start bringing 99Dollars per hr just on a computer.(Qo) Very easy way to make your life happy and earning continuously…
.
.
.
This is where i started…>> http://remarkableincome09.blogspot.com

Back to top button
6
0
Would love your thoughts, please comment.x
()
x