Sh milioni 100 kukamilisha Zahanati Kilindi

DODOMA: SERIKALI imepanga kutumia fedha za makusanyo ya ndani kiasi cha sh millioni 100 kwa ajili ya kukamilisha ujenzi wa zahanati ya Kijiji cha Masagalu kilichopo katika Halmashauri ya Kilindi.

Hayo yamesemwa na Naibu Waziri Ofisi ya Rais-TAMISEMI, Dkt. Festo Dugange wakati akijibu maswali ya Wabunge yanayohusu sekta ya afya wakati wa kikao cha kwanza cha Bunge la 13 lililoanza leo jijini Dodoma.

Dugange amesisitiza kuwa Serikali imeshaanza mchakato wa kutafuta fedha kwa ajili ya ukarabati na upanuzi wa Kituo cha Afya cha Loliondo ili kuondoa adha ya wananchi wa eneo hilo kukosa huduma pindi wanapohitaji huduma za afya.

“Kituo cha Afya cha Loliondo ni miongoni mwa vituo 199 ambavyo Ofisi ya Rais-TAMISEMI imeviainisha na kuviweka kwenye mpango wa ukarabati na tayari Serikali imeanza kutafuta fedha kwa ajili ya ujenzi”, amesema Dugange.

Amesema lengo la serikali ni kuhakikisha fedha inapatikana kwa wakati ili kukamilisha ukarabati na upanuzi wa vituo vya afya ikiwa ni pamoja na kukamilisha maboma katika zahanati zote nchini.

Habari Zifananazo

Subscribe
Notify of
guest
9 Comments
Oldest
Newest Most Voted
Inline Feedbacks
View all comments
Angila
Angila
1 month ago

Start your home business right now. Spend more time with your family and earn. Start bringing 99Dollars per hr just on a computer.(Q) Very easy way to make your life happy and earning continuously…
.
.
.
This is where i started…>> http://remarkableincome09.blogspot.com

Ulikuwa na PROJECT YA MATRILIONI WAKATI SUMU YA PA
Ulikuwa na PROJECT YA MATRILIONI WAKATI SUMU YA PA
Reply to  Angila
1 month ago

Barua ya wazi kwa RAIS WA UJERUMANI Frank-Walter Steinmeier 

Mabaki miili ya Watanzania kurudishwa nchini

 
file:///C:/Users/User/AppData/Local/Temp/msohtmlclip1/01/clip_image002.jpg
 

Mashujaa wa kuhamisha Makao makuu ya Tanzania pale  Dodoma hoyeeeeee…

HAPA KAZI TU NA KAZI ZOTE HIZO IENDELEE SIO KAZI KWELI AU TUMEENDELEA SANA

Capture.JPG
Monica Uribe
Monica Uribe
Reply to  Angila
1 month ago

I am making over $30k a month working part time. I am a full time college student and just working for 3 to 4 hrs a day. Everybody must try this home online job now by just use this Following Website

More infor…. http://Www.Smartwork1.Com

Thelmaoehler
Thelmaoehler
Reply to  Angila
1 month ago

I’ve gained only within four weeks by comfortably working part-time from home. Immediately when I had lost my last business, mtg I was very troubled and thankfully
following website___________ http://Www.Careers12.com

Last edited 1 month ago by Thelmaoehler
Yvonneearn
Yvonneearn
1 month ago

I’ve gained only within four weeks by comfortably working part-time from home. Immediately when I had lost my last business, mtg I was very troubled and thankfully
following website___________ http://Www.Careers12.com

Last edited 1 month ago by Yvonneearn
Ulikuwa na PROJECT YA MATRILIONI WAKATI SUMU YA PA
Ulikuwa na PROJECT YA MATRILIONI WAKATI SUMU YA PA
Reply to  Yvonneearn
1 month ago

Barua ya wazi kwa RAIS WA UJERUMANI Frank-Walter Steinmeier 

Mabaki miili ya Watanzania kurudishwa nchini

 
file:///C:/Users/User/AppData/Local/Temp/msohtmlclip1/01/clip_image002.jpg
 

Mashujaa wa kuhamisha Makao makuu ya Tanzania pale  Dodoma hoyeeeeee…

HAPA KAZI TU NA KAZI ZOTE HIZO IENDELEE SIO KAZI KWELI AU TUMEENDELEA SANA

Capture.JPG
Ulikuwa na PROJECT YA MATRILIONI WAKATI SUMU YA PA
Ulikuwa na PROJECT YA MATRILIONI WAKATI SUMU YA PA
1 month ago

Barua ya wazi kwa RAIS WA UJERUMANI Frank-Walter Steinmeier 

Mabaki miili ya Watanzania kurudishwa nchini

 
file:///C:/Users/User/AppData/Local/Temp/msohtmlclip1/01/clip_image002.jpg
 

Mashujaa wa kuhamisha Makao makuu ya Tanzania pale  Dodoma hoyeeeeee…

HAPA KAZI TU NA KAZI ZOTE HIZO IENDELEE SIO KAZI KWELI AU TUMEENDELEA SANA

Capture.JPG
Ulikuwa na PROJECT YA MATRILIONI WAKATI SUMU YA PA
Ulikuwa na PROJECT YA MATRILIONI WAKATI SUMU YA PA
1 month ago

Barua ya wazi kwa RAIS WA UJERUMANI Frank-Walter Steinmeier 

Mabaki miili ya Watanzania kurudishwa nchini

 
file:///C:/Users/User/AppData/Local/Temp/msohtmlclip1/01/clip_image002.jpg
 

Mashujaa wa kuhamisha Makao makuu ya Tanzania pale  Dodoma hoyeeeeee…

HAPA KAZI TU NA KAZI ZOTE HIZO IENDELEE SIO KAZI KWELI AU TUMEENDELEA SANA..

Capture.JPG
Julia
Julia
1 month ago

I have just received my 3rd paycheck which said that $16,285 that i have made just in one month by working online over my laptop. This job is amazing and its regular earnings are much better than my regular office job. Join this job now and start making money online easily by just use this link.
.
.
Detail Here———————————————->>>  http://Www.BizWork1.Com

Back to top button
9
0
Would love your thoughts, please comment.x
()
x