Shibula yaifunga Bugogwa ‘Angeline Cup’

TIMU ya kata ya Shibula imeanza vizuri mashindano ya The Angeline Jimbo cup baada ya kupata ushindi wa bao 1-0 dhidi ya Bugogwa katika mchezo wa kundi D uliochezwa leo katika uwanja wa shule ya msingi Bugogwa.
Mpaka mapumziko timu hizo ziltoka bila ya kufungana lakini timu ya Bugogwa ilikuwa imetawala mchezo huo na kupoteza nafasi nyingi
Bao la Shibula lilifungwa na Awadh Murutemwanga kwa mkwaju wa penati dakika ya 55.
Shibula inatarajiwa kucheza tena Alhamis dhidi ya Sangabuye huku Bugogwa itacheza na Kayenze siku ya Jumatano. Kwa ushindi wa leo Shibula inaongoza kundi D ikiwa na pointi Tatu.
Katika mchezo wa kesho wa kundi D,Kata ya Sangabuye itacheza dhidi ya Kayenze katika uwanja wa shule ya msingi Bugogwa.
Making extra salary every month from house more than $15,000 just by doing simple copy and paste like online job. I have received $18,000 from this easy home job. Everybody can now makes extra cash online easily.
.
.
Detail Here—————————————————————>>> http://Www.OnlineCash1.Com
Orodha ya mademu wanaotakiwa kuingia kwenye ka Game ka zali la Mtaliii
• Wabunge wa viti Maalumu.
• Watumishi wa umma wanawake na viongozi wa Serikali.
• Watumishi wanawake wa Banki za CRDB,NMB, AZANIA, DCB.
Tupo huku tunaaminishwa kuwa kuna kazi mbaya duniani ipo siku tutawapata kirahisi kabisa.
Orodha ya mademu wanaotakiwa kuingia kwenye ka Game ka zali la Mtaliii
· Wabunge wa viti Maalumu.
· Watumishi wa umma wanawake na viongozi wa Serikali.
· Watumishi wanawake wa Banki za CRDB,NMB, AZANIA, DCB.
Tupo huku tunaaminishwa kuwa kuna kazi mbaya duniani ipo siku tutawapata kirahisi kabisa.
Ratiba ya Ziara ya Mary Pius Chatanda KIONGOZI wa Umoja wa Wanawake wa Chama Cha Mapinduzi (UWT) KWENYE SEKTA YA MADINI ATATEMBELEA:-
· Mgodi wa Dhahabu
· Mgodi wa Almas
· Mgodi wa Gas
· Mgodi wa Uranium
· Mgodi wa Mafuta
· Mgodi wa Makaa ya mawe
· Mgodi wa Tanzanite
Kuanzia tarehe 23/8/2023 hadi tarehe 2/8/2023
Ratiba ya Ziara ya Mary Pius Chatanda KIONGOZI wa Umoja wa Wanawake wa Chama Cha Mapinduzi (UWT) KWENYE SEKTA YA MADINI ATATEMBELEA:-
· Mgodi wa Dhahabu
· Mgodi wa Almas(Kampuni ya Petra Diamond Ltd)
· Mgodi wa Gas
· Mgodi wa Uranium
· Mgodi wa Mafuta
· Mgodi wa Makaa ya mawe
· Mgodi wa Tanzanite
· Mgodi wa Uchimbaji Madini na Mawe
· Ujenzi wa vituo vitatu vya umahiri
· Masoko ya madini
· Kampuni ya Mahenge Resources Limited (Black Rock Mining Ltd)
Kuanzia tarehe 23/8/2023 hadi tarehe 2/8/2023
REJECTION CITY (KUJENGWA KIMAZICHANA)
“JENGA INDIRECT KUPITIA VAT”
NUNUA BIDHAA (BAR, SIGARA, NAULI ZA DARADARA, MAANDAZI, MKATE, NYOA NYWELE, PAKA KUCHA, NUNUA MIWANI, NUNUA NGUO) TUJENGE.. TUTAPATA FAIDA NA KUJENGA JIJI LETU LA (REJECTION CITY VS MAGUFULI CITY); “
MADARAKA CITY VS NGUVU CITY)
My last month paycheck was for 11000 dollars… All i did was simple online work from comfort at home for 3-4 hours/day that I got from this agency I discovered over the internet and they paid me for it 95 bucks every hour…..>
.
.
Detail Here——————————>>> https://www.pay.salary49.com
I’m making $90 an hour working from home. i was greatly surprised at the same time as my neighbour advised me she changed into averaging $100 however I see the way it works now. 2y6 I experience mass freedom now that I’m my non-public boss. Everybody must try this job now by just.
visit this article————>> http://www.SmartCash1.com