Shimiwi yashika kasi Tanga 

Shimiwi yashika kasi Tanga 

MASHINDANO ya Michezo ya Wizara na Idara za Serikali (Shimiwi) yameendelea kushika kasi mkoani Tanga.

Katika michezo iliyofanyika leo, timu ya netiboli ya Bunge iliifunga Tarura mabao 16-11, wakati mpira wa miguu Bunge na Wizara ya Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari zilitoka sare ya kufungana bao 1-1.

Advertisement
Add a comment

Toa Jibu

Barua-pepe haitachapishwa. Fildi za lazima zimetiwa alama ya *