Simba Day Agosti 6

Simba kusukwa upya

MENEJA wa Habari na Mawasiliano wa Simba SC, Ahmed Ally ametangaza kuwa Agosti 6, 2023 itakuwa ni siku ya tamasha la Simba Day.

Kwa mujibu wa Ahmed, wameamua kurudisha nyuma tarehe ya tamasha hilo kwa sababu Agosti 10 kutakuwa na mchezo wa Ngao ya Jamii dhidi ya Singida Fountaine Gate.

“Tunataka wachezaji wetu wapate muda wa kupumzika.” Ahmed Ally.

Advertisement

Tamasha hilo huwa linafanyika kila mwaka kwa lengo la kutambulisha wachezaji wapya pamoja na benchi la ufundi.

4 comments

Comments are closed.

/* */