Simba kuiwinda Yanga, viingilio vyatajwa

SIMBA SC kesho wataingia kambini kujiandaa na mchezo wa Ligi Kuu dhidi watani wao Yanga SC, mchezo utakaopigwa Jumapili hii saa 11:00 uwanja wa Mkapa, Meneja wa Habari na Mawasiliano wa klabu hiyo, Ahmed Ally ameeleza.

Akizungumza na waandishi wa habari Oktoba 30, 2023 Ahmed ametaja viingilio vya mchezo huo ambao Simba SC atakuwa mwenyeji. “Viingilio Mzunguko Sh 5,000, Machungwa Sh 10,000, VIP C Sh 20,000, VIP B Sh 30,000, VIP A Sh 40,000 na Platinum Sh 150,000.”

Ahmed amesema licha ya kucheza mechi kadhaa ngumu, lakini mchezo huo ni mgumu zaidi kutokana na ukubwa na hamasa ya kila timu. “Tumecheza mechi ngumu lakini mechi ya Jumapili ni ngumu kuliko zote hii ni kutokana na utani uliopo pamoja na ubora wa timu yao.”

“Ni mechi ambayo Wanasimba inabidi tujitoe muhanga ili kupata ushindi. Kila Mwanasimba ajue ana jukumu la kusaidia timu yake. Tukishinda siku hiyo shughuli itakuwa imeisha, itabaki shughuli ya kukamilisha ratiba ya msimu.”- amesema Ahmed.

Habari Zifananazo

Subscribe
Notify of
guest
4 Comments
Oldest
Newest Most Voted
Inline Feedbacks
View all comments
Ulikuwa na Mradi/Project ya Matrilioni wakati Sumu
Ulikuwa na Mradi/Project ya Matrilioni wakati Sumu
1 month ago

FSAAA

Capture.JPG
Nilailliams
Nilailliams

I’ve gained only within four weeks by comfortably working part-time from home. Immediately when I had lost my last business, mtg I was very troubled and thankfully
following website___________ http://Www.Careers12.com

Last edited 1 month ago by Nilailliams
Ulikuwa na Mradi/Project ya Matrilioni wakati Sumu
Ulikuwa na Mradi/Project ya Matrilioni wakati Sumu
1 month ago

HISTORIA itutabirie URAIS

Capture.JPG
Angila
Angila
1 month ago

HOME-BASED real Earner.I am just working on Facebook only 3 to 4 hours a Day and earning $47786 a month easily, that is handsome earning to meet my extra expenses and that is really life changing opportunity.(Qk) Let me give you a little insight into what I do…

FOR More Details……….. >> http://Www.Smartcareer1.com  

Back to top button
4
0
Would love your thoughts, please comment.x
()
x