Simba, Mkude wafikia mwisho

BAADA ya miaka 13 Simba SC imeagana na kiungo Jonas Mkude.
Simba imetangaza kuachana na Mkude kupitia kurasa zao za mitandao ya kijamii, ikiwa ni mwendelezo wa kuachana na baadhi ya wachezaji ambao hawapo kwenye mipango ya timu msimu ujao.
“Tunamtakia kila la kheri kwenye changamoto mpya ya maisha ya soka nje ya Simba.” Imeeleza taarifa hiyo.
Mpaka sasa Simba imechana na Mohamed Ouattara, Beno Kakolanya, Erasto Nyoni, Nelson Okwa, Victor Akpan na Jonas Mkude.
Last month i managed to pull my first five figure paycheck ever!!! I’ve been working for this company online for 2 years now and i never been happier… They are paying me $95/per hour and the best thing is cause i am not that tech-savy, they only asked for basic understanding of internet and basic typing skill… It’s been an amazing experience working with them and i wanted to share this with you, because they are looking for new people to join their team now and i highly recommend to everyone to apply…
…
Visit following page for more information………..>>> http://www.Richcash1.com
Everyone can make money now a days very easily…dd…..I am a full time college student and just w0rking for 3 to 4 hrs a day. Everybody must try this home online job now by just use… This Following Website.—–>>> http://Www.EarnCash7.com