Simba yamnasa Ngoma

SIMBA SC imetangaza kumsajili Kiungo, Fabrice Ngoma kutoka DR Congo kwa mkataba wa miaka miwili akitokea Al Hilal ya Sudan.

Ngoma amewahi kucheza Raja Casablanca ya Morocco na AS Vita Club ya nchini kwao.

Advertisement
2 comments

Toa Jibu

Barua-pepe haitachapishwa. Fildi za lazima zimetiwa alama ya *