SIMBA SC imetangaza kumsajili Kiungo, Fabrice Ngoma kutoka DR Congo kwa mkataba wa miaka miwili akitokea Al Hilal ya Sudan.
Ngoma amewahi kucheza Raja Casablanca ya Morocco na AS Vita Club ya nchini kwao.
Barua-pepe haitachapishwa. Fildi za lazima zimetiwa alama ya *
Maoni *
Your Name *
Your E-mail *
Website
Wasilisha Maoni