Simba yaondolewa Caf kwa penalti

SAFARI ya Simba katika Ligi ya Mabingwa Afrika msimu wa 2022/23 imeishia robo fainali baada ya kupoteza kwa penati 4-3 dhidi ya Wydad Casablanca ya nchini Morocco.

Dakika 90 za mchezo wa raundi ya pili wa hatua hiyo ziliwapa wenyeji ushindi wa bao 1-0 likifungwa na mshambuliaji BoulySambou, hivyo matokeo kuwa 1-1 kwa kuwa Simba ilishinda katika mchezo wa kwanza 1-0.

Wydad itacheza na timu itakayosonga mbele kati ya CRBelouizdad ya Algeria au MamelodiSundowns ya Afrika Kusini.

Habari Zifananazo

Subscribe
Notify of
guest
1 Comment
Oldest
Newest Most Voted
Inline Feedbacks
View all comments
trackback
4 months ago

[…] post Simba yaondolewa Caf kwa penalti first appeared on […]

Back to top button
1
0
Would love your thoughts, please comment.x
()
x