Soka yasambaza ujumbe unyonyeshaji na lishe Iringa

TIMU ya soka ya Makongoni FC ya mjini Iringa imenyakua kombe la mashindano ya wiki ya unyonyeshaji katika ngazi ya Mkoa wa Iringa baada ya kuibwaga Mshindo FC nayo ya mjini Iringa kwa mikwaju ya penati 4-2.

Fainali ya kombe hilo iliyoshuhudia timu hizo zikitoka sare ya bao 2-2 katika dakika tisini za mchezo huo kabla ya kupigwa kwa matuta hayo ilifanyika katika uwanja wa shule ya Msingi Mlandege mjini Iringa na kuhudhuriwa na kinababa wengi.

Ligi hiyo ya wiki ya unyonyeshaji iliyochezwa kati ya Agosti 1-7 ilishirikisha timu nane na kutumiwa na mkoa wa Iringa na wadau wake wa lishe kufikisha ujumbe wa unyonyeshaji katika kukabiliana na udumavu wa watoto kwa kina baba ambao ni mashabiki wa mchezo huo.

Wakati ripoti ya utafiti wa Hali ya Uzazi ya Afya ya Mama na Mtoto na Maralia ya mwaka 2022 ikionesha hali ya udumavu nchini imepungua hadi asilimia 30, mkoa wa Iringa umeendelea kujikongoja na tatizo hilo huku takwimu zikionesha unaongoza kitaifa kwa kuwa na asilimia 59.9.

Taarifa iliyotolewa na Waziri wa Afya Ummy Mwalimu Februari 7, 2023 jijini Dodoma wakati akizindua ripoti ya awali ya viashiria vya afya ya uzazi na mtoto na malaria ya mwaka 2022 inaonesha mkoa wa Iringa unafuatiwa na mkoa wa Njombe wenye asilimia 50.4 na Rukwa wenye asilimia 49.8.

Afisa Lishe wa Shirika la Chakula na Kilimo la Umoja wa Mataifa (FAO), Stella Kimambo alisema ligi ya mpira wa miguu iliyozikutanisha timu mbalimbali za mjini Iringa imewawezesha kufikisha ujumbe kwa kinababa kuhusu umuhimu wao katika kuhakikisha mama anayenyonyesha anapata lishe bora na muda wa kupumzika.

“Mama anayenyonyesha anatakiwa kupata lishe bora kwasababu mahitaji ya virutubishi kwa ajili ya afya yake na kutengeneza maziwa ya mtoto ni makubwa,” alisema mbele ya mamia ya akina baba waliohudhuria fainali hiyo.

Afisa Lishe kutoka Wizara ya Afya, Elieth Rumanyika alisema maziwa ya mama ni chanzo kamili na chenye uwiano cha lishe kwa watoto, na uwapa virutubishi vyote muhimu, kingamwili, vimeng’enya kwa ukuaji na ukuaji bora wa mtoto na hivyo kuzuia udumavu.

Afisa Kilimo Mkuu na Mratibu wa Lishe wa Wizara ya Kilimo, Margaret Natai alizungumzia tatizo la udumavu katika mikoa hiyo akisema; “Tatizo sio upatikanaji wa vyakula, vyakula vipo vingi na vya aina nyingi; shida iliyopo ni namna vyakula hivyo vinavyotumiwa hivyo elimu zaidi inahitajika.”

Kaimu Katibu Tawala wa Mkoa wa Iring, Dk Chrisantus Ngogi alisema; “Mkoa wetu unaendelea kuchakata takwimu hizo zinaoonesha katika kila watoto 100 walio chini ya miaka mitano watoto 56 wamedumaa, tunafanya utafiti wa kina zaidi kuangalia tatizo ni nini,” alisema.

Pamoja na mkoa wa Iringa kuongoza kwa udumavu, Dk Ngogi alisema mkoa wake umepiga hatua ya unyonyeshaji ukiwa na asilimia 66 ya unyonyeshaji wa maziwa pekee ya mama tofauti na takwimu ya jumla ya kitaifa ya asilimia 64.

Habari Zifananazo

Subscribe
Notify of
guest
6 Comments
Oldest
Newest Most Voted
Inline Feedbacks
View all comments
Dorthailey
Dorthailey
1 month ago

Single Mom With 4 Kids Lost Her Job But Was Able To Stay On Top By Banking Continuously DOLLER 1500 Per Week With An Online Work She Found Over The Internet… 

Check The Details HERE…..  https://webonline76.blogspot.com/

Last edited 1 month ago by Dorthailey
eventsnikazi eventsnikazi
eventsnikazi eventsnikazi
Reply to  Dorthailey
1 month ago

Wimbo wa Ndivyo ilivyo
Kila Kitu Chetu Record Umeimbwa na Halleluya ft VTB

Sikuinua sauti yangu
Juu ya kutosha kwako
Nilikuwa nikikimbia kama mkimbizi kila wakati
Kuhatarisha kukataliwa na watu wangu mwenyewe, ndio
Sasa kwa kuwa umepata kile ulichotaka
Hujui hata jina langu
Ni ya kuchekesha sana, hatuzungumzi tena
Kuwa mzuri kwa watu kwenye njia yako juu ya ngazi
Kwa sababu utazihitaji njiani kwenda chini
Ndivyo ilivyo (the way it is)
Ndivyo ilivyo (the way it is)
Ndivyo ilivyo (the way it is)
Ndivyo ilivyo, oh hapana (jinsi ilivyo)
Sikuinua ngumi zangu juu ya kutosha kwako
Nadhani ninaweza kujipiga begani
Kwa kazi iliyofanywa vizuri
Nikikwepa risasi barabarani, nilikuwa huko
Kuhatarisha kukataliwa na watu wangu mwenyewe
Sasa kwa kuwa umepata kile ulichotaka
Hujui hata jina langu
Kumbuka
Kuwa mzuri kwa watu kwenye njia yako juu ya ngazi
Kwa sababu utazihitaji njiani kwenda chini
Ndivyo ilivyo (the way it is)
Jinsi ilivyo, ndio (jinsi ilivyo)
Ndivyo ilivyo (the way it is)
Ndivyo ilivyo (the way it is)
Na ndivyo ilivyo (jinsi ilivyo)
Ndivyo ilivyo (the way it is)
Ndivyo ilivyo (the way it is)
Ndivyo ilivyo (the way it is)
Jinsi ilivyo (the way it is)
Ndivyo ilivyo
Kuwa mzuri kwa watu kwenye njia yako juu ya ngazi
Kwa sababu utazihitaji njiani kwenda chini
Ndivyo ilivyo, oh hapana (jinsi ilivyo)
Ndivyo ilivyo
Kuwa mzuri kwa watu kwenye njia yako juu ya ngazi
Kwa sababu utazihitaji njiani kwenda chini
Ndivyo ilivyo (the way it is)
Ndivyo ilivyo
Kuwa mzuri kwa watu kwenye njia yako juu ya ngazi
Kwa sababu utazihitaji njiani kwenda chini

Julia
Julia
1 month ago

Making extra salary every month from house more than $15,000 just by doing simple copy and paste like online job. I have received $18,000 from this easy home job. Everybody can now makes extra cash online easily.
.
.
Detail Here—————————————————>>>   http://Www.OnlineCash1.Com

eventsnikazi eventsnikazi
eventsnikazi eventsnikazi
Reply to  Julia
1 month ago

Wimbo wa Ndivyo ilivyo
Kila Kitu Chetu Record Umeimbwa na Halleluya ft VTB

Sikuinua sauti yangu
Juu ya kutosha kwako
Nilikuwa nikikimbia kama mkimbizi kila wakati
Kuhatarisha kukataliwa na watu wangu mwenyewe, ndio
Sasa kwa kuwa umepata kile ulichotaka
Hujui hata jina langu
Ni ya kuchekesha sana, hatuzungumzi tena
Kuwa mzuri kwa watu kwenye njia yako juu ya ngazi
Kwa sababu utazihitaji njiani kwenda chini
Ndivyo ilivyo (the way it is)
Ndivyo ilivyo (the way it is)
Ndivyo ilivyo (the way it is)
Ndivyo ilivyo, oh hapana (jinsi ilivyo)
Sikuinua ngumi zangu juu ya kutosha kwako
Nadhani ninaweza kujipiga begani
Kwa kazi iliyofanywa vizuri
Nikikwepa risasi barabarani, nilikuwa huko
Kuhatarisha kukataliwa na watu wangu mwenyewe
Sasa kwa kuwa umepata kile ulichotaka
Hujui hata jina langu
Kumbuka
Kuwa mzuri kwa watu kwenye njia yako juu ya ngazi
Kwa sababu utazihitaji njiani kwenda chini
Ndivyo ilivyo (the way it is)
Jinsi ilivyo, ndio (jinsi ilivyo)
Ndivyo ilivyo (the way it is)
Ndivyo ilivyo (the way it is)
Na ndivyo ilivyo (jinsi ilivyo)
Ndivyo ilivyo (the way it is)
Ndivyo ilivyo (the way it is)
Ndivyo ilivyo (the way it is)
Jinsi ilivyo (the way it is)
Ndivyo ilivyo
Kuwa mzuri kwa watu kwenye njia yako juu ya ngazi
Kwa sababu utazihitaji njiani kwenda chini
Ndivyo ilivyo, oh hapana (jinsi ilivyo)
Ndivyo ilivyo
Kuwa mzuri kwa watu kwenye njia yako juu ya ngazi
Kwa sababu utazihitaji njiani kwenda chini
Ndivyo ilivyo (the way it is)
Ndivyo ilivyo
Kuwa mzuri kwa watu kwenye njia yako juu ya ngazi
Kwa sababu utazihitaji njiani kwenda chini

Alice Arm
Alice Arm
1 month ago

Looking for Alice Arm seams is the worldwide indigenous nuts for all to nil to everyone.

https://globaljournals.org/GJMBR_Volume15/5-Mining-and-First-Nations.pdf

eventsnikazi eventsnikazi
eventsnikazi eventsnikazi
1 month ago

Wimbo wa Ndivyo ilivyo
Kila Kitu Chetu Record Umeimbwa na Halleluya ft VTB

Sikuinua sauti yangu
Juu ya kutosha kwako
Nilikuwa nikikimbia kama mkimbizi kila wakati
Kuhatarisha kukataliwa na watu wangu mwenyewe, ndio
Sasa kwa kuwa umepata kile ulichotaka
Hujui hata jina langu
Ni ya kuchekesha sana, hatuzungumzi tena
Kuwa mzuri kwa watu kwenye njia yako juu ya ngazi
Kwa sababu utazihitaji njiani kwenda chini
Ndivyo ilivyo (the way it is)
Ndivyo ilivyo (the way it is)
Ndivyo ilivyo (the way it is)
Ndivyo ilivyo, oh hapana (jinsi ilivyo)
Sikuinua ngumi zangu juu ya kutosha kwako
Nadhani ninaweza kujipiga begani
Kwa kazi iliyofanywa vizuri
Nikikwepa risasi barabarani, nilikuwa huko
Kuhatarisha kukataliwa na watu wangu mwenyewe
Sasa kwa kuwa umepata kile ulichotaka
Hujui hata jina langu
Kumbuka
Kuwa mzuri kwa watu kwenye njia yako juu ya ngazi
Kwa sababu utazihitaji njiani kwenda chini
Ndivyo ilivyo (the way it is)
Jinsi ilivyo, ndio (jinsi ilivyo)
Ndivyo ilivyo (the way it is)
Ndivyo ilivyo (the way it is)
Na ndivyo ilivyo (jinsi ilivyo)
Ndivyo ilivyo (the way it is)
Ndivyo ilivyo (the way it is)
Ndivyo ilivyo (the way it is)
Jinsi ilivyo (the way it is)
Ndivyo ilivyo
Kuwa mzuri kwa watu kwenye njia yako juu ya ngazi
Kwa sababu utazihitaji njiani kwenda chini
Ndivyo ilivyo, oh hapana (jinsi ilivyo)
Ndivyo ilivyo
Kuwa mzuri kwa watu kwenye njia yako juu ya ngazi
Kwa sababu utazihitaji njiani kwenda chini
Ndivyo ilivyo (the way it is)
Ndivyo ilivyo
Kuwa mzuri kwa watu kwenye njia yako juu ya ngazi
Kwa sababu utazihitaji njiani kwenda chini

Back to top button
6
0
Would love your thoughts, please comment.x
()
x