Soko la mbaazi uhakika India

TANZANIA imepata soko la uhakiza la zao la mbaazi nchini India kwa mgawo wa tani laki mbili huku ikielezwa kuwa India ni mtumiaji mkubwa wa mbaazi duniani.

Taarifa iliyotolewa leo na Mkurugenzi wa Mawasiliano Ikulu, Zuhura Yunus imeeleza kuwa Hatua hiyo imetokana na ziara iliyofanywa na Rais Samia nchini humo. Malawi na Msumbiji pia ni miongoni mwa waliopita fursa hiyo.

Aidha, Tanzania imewasilisha mahitaji kwenye serikali ya India, kupitia Exim Bank ya India kwa ajili ya mradi mkubwa wa umwagiliaji kutoka Ziwa Victoria.

Mahitaji hayo ni takribani Dola bilioni 1 ambao mradi huo utatekelezwa mikoa ya Mwanza, Simiyu, Shinyanga, Singida, Dodoma, Kagera na Mara.

Pia Tanzania ina mpango wa kununua jumla ya trekta 10,000 na kujenga vituo maalum vya vifaa vya kilimo ‘mechanization’.

Serikali imekubaliana na kampuni kubwa mbili duniani ya matrekta, Mahindra na John Deer kuweka katika kipindi cha miezi 12 viwanda vya kuunganisha matrekta na kutengeneza vipuri ndani ya Tanzania.

Habari Zifananazo

Subscribe
Notify of
guest
5 Comments
Oldest
Newest Most Voted
Inline Feedbacks
View all comments
Work AT Home
Work AT Home
1 month ago

I’ve earned $17,910 this month by working online from home. I work only six hours a day despite being a full-time college student. Everyone is capable of carrying out this work from their homes and learning it in spare time on a continuous basis.

To learn more, see this article———>>> http://Www.Smartcash1.com

Last edited 1 month ago by Work AT Home
Royal
1 month ago

Google paid 99 dollars an hour on the internet. Everything I did was basic Οnline w0rk from comfort at hΟme for 5-7 hours per day that I g0t from this office I f0und over the web and they paid me 100 dollars each hour. For more details
visit this article————>> http://Www.SmartCash1.com

Ramonaimmons
Ramonaimmons
1 month ago

I’ve gained only within four weeks by comfortably working part-time from home. Immediately when I had lost my last business, mtg I was very troubled and thankfully
following website___________ http://Www.Careers12.com

Last edited 1 month ago by Ramonaimmons
Michael Chiarello
Michael Chiarello
1 month ago

Tukifanyikiwa:-

KUTAKUWA NA AKILI ZA

  1. MSHAHARA
  2. MARUPULUPU
  3. FEDHA ZA SAFARI
  4. FEDHA ZA KWENDA KUSOMAKUONGEZA TAALUMA ZA RELI
  5. KILA MTANZANIA ATAPEWA MILIONI 100 ZA KWENDA KUSOMA ULAYA
  6. .

WAMEGOMA KUWA MCHINGA ANAISHI VIZURI KULIKO MTUMISHI WA UMMA

Michael Chiarello
Michael Chiarello
1 month ago

Tukifanyikiwa:-

KUTAKUWA NA AKILI ZA

  1. MSHAHARA
  2. MARUPULUPU
  3. FEDHA ZA SAFARI
  4. FEDHA ZA KWENDA KUSOMAKUONGEZA TAALUMA ZA RELI
  5. KILA MTANZANIA ATAPEWA MILIONI 100 ZA KWENDA KUSOMA ULAYA
  6. ..

WAMEGOMA KUWA MCHINGA ANAISHI VIZURI KULIKO MTUMISHI WA UMMA

Back to top button
5
0
Would love your thoughts, please comment.x
()
x