Suarez amfuata Messi Miami

Mshambuliaji Luis Súarez amesaini mkataba rasmi kama mchezaji mpya wa Inter Miami.

Hatua zote za usajili zimekamilika na amesaini mkataba wa mwaka mmoja pamoja na kipengele cha msimu mwingine unaotumika hadi 2025.

Baada ya usajili huo, Suarez anaungana na Messi, Busquets, Alba wote wamewahi kucheza pamoja huko Barcelona.

Advertisement

Suarez ameisaini mkataba huo akitokea Gremio ya Brazil.

2 comments

Toa Jibu

Barua-pepe haitachapishwa. Fildi za lazima zimetiwa alama ya *