Sunak kupiga marufuku sigara Uingereza

LONDON, Septemba 23 – WAZIRI Mkuu wa Uingereza, Rishi Sunak anafikiria kuanzisha hatua zitakazopiga marufuku matumizi ya sigara kwa kizazi kijacho, gazeti la The Guardian liliripoti Ijumaa, likinukuu vyanzo vya serikali.
Kama Sunak atapitisha uwekezekano huo itakuwa ni hatua iliyofanywa na New Zealand mwaka jana ya kupiga marufuku kuuza tumbaku kwa mtu yoyote aliyezaliwa kuanzia mwaka 2009, ripoti hiyo ilisema.
“Tunataka kuhimiza watu wengi zaidi kuacha na kutimiza azma yetu ya kutokuwa na sigara ifikapo 2030, na ndiyo maana tayari tumechukua hatua za kupunguza viwango vya uvutaji sigara,” msemaji wa serikali ya Uingereza alisema katika barua pepe kwa Shirika la Habari la Reuters.
Sera zinazozingatiwa ni sehemu ya msukumo mpya unaolenga watumiaji kutoka kwa timu ya Sunak kabla ya uchaguzi unaotarajiwa kufanyika mwaka ujao, ripoti hiyo ilisema.
Mei mwaka huu, Uingereza ilitangaza kuwa itafunga mwanya ambao unaruhusu wauzaji kutoa sampuli za bure za ‘vapes’ kwa watoto kama kizuizi cha sigara za kielektroniki.
Mabaraza ya Uingereza na Wales mnamo Julai yaliitaka serikali kupiga marufuku uuzaji wa ‘vapes’ ifikapo 2024 kwa misingi ya mazingira na afya.
I am now making more than 350https://s.w.org/images/core/emoji/14.0.0/svg/1f4b0.svg dollars per day by working online from home without investing any money.Join this link posting job now and start earning without investing or selling anything…….
🙂 AND GOOD LUCK.:)..____ http://Www.Careers12.com
ORODHA YA MAJINA YA WALIOSHINDWA KULEA WATOTO 2023 HESLB: FULL LIST OF BOARD VITUO VYA MALEZI (HESLB)
Mashindano ya nani kuhinda kwenye neno “ABROAD“ NCHINI TANZANIA!?
MJERUMANI
MHINDI
MTANZANIA
MKENYA
MNIGERIA
MHISPANIA
file:///C:/Users/User/AppData/Local/Temp/msohtmlclip1/01/clip_image002.jpg
NANI AINGIZE NDEGE ZA KWENDA KUMSALIMIA BABU NA BIBI, KWA ALIYESHINDA KULELEWA NA BIBI TU!?