Taarifa ya mabadiliko yaduwaza wabunge

RAIS Samia Suluhu Hassan, leo amefanya mabadiliko madogo kwenye Baraza lake la Mawaziri.

Sasa ipo hivi wakati taarifa hiyo ikisambaa kwenye mitandao mbalimbali ya kijamii, ndani ya Bunge ulikuwa unaendelea mjadala wa hoja ya Azimio la Bunge kuhusu Mapendekezo ya Kuridhia Katiba ya Tume ya Usafiri wa Anga ya Afrika ya Mwaka 2009 iliyowasilishwa na Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi Prof. Makame Mbarawa.

Lakini ilionekana kama baadhi ya wabunge walianza kupata taarifa kwamba kulikuwa na kitu kinaendelea Ikulu cha kutangazwa mabadiliko na hata wale ambao wamepata uteuzi au wale waliobadilishwa nao walianza kuhisi joto fulani wakiwa ukumbini.

Wakati taarifa za mabdiliko zikizidi kusambaa, mjadala wa hoja ya Azimio la Bunge kuhusu Mapendekezo ya Kuridhia Katiba ya Tume ya Usafiri wa Anga ya Afrika ya Mwaka 2009 ulikuwa ukielekea mwishoni, ambapo baadaye Bunge liliridhia Azimio hilo.

Baada ya kutoka nje ya ukumbi, baadhi ya wabunge walikuwa katika vikundi kupeana taarifa mbalimbali na wengine kuanza kutoa maoni yao, huku baadhi wakikataa kutoa maoni kwa maelezo bado walikuwa hawajapata taarifa kamili, kwani imekuwa kama ‘surprise’ kwao.

Habari Zifananazo

Subscribe
Notify of
guest
4 Comments
Oldest
Newest Most Voted
Inline Feedbacks
View all comments
rainBANDARI
rainBANDARI
27 days ago

Maoni: Draft National BANDARI Policy 2002
 
ENEO
MAONI
1.
1.2.1.2 BANDARI Resources development

Sera ya Taifa ya BANDARI imekuja wakati mzuri ambapo Dunia nzima inafikiria maendeleo endelevu (sustainable economic development) ambayo kuwa hakika yanajumuisha matakwa ya watu wengi waliopo na vizazi vijavyo. Inashauriwa kutokana na mabadiliko ya tabia ya nchi na masuala mengine ya kijamii ni vyema katika mipango ya upatikanaji wa maji salama kuwepo mpango wa kuwapa ruzuku Kampuni Binafsi zinazotafuta na kuchimba visima ili wananchi/kampuni za BANDARI zinazotoa huduma BANDARI ziweze kupata huduma za maji kirahisi (surface and groundBANDARI development)

                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                        
2.
3.2.3 WasteBANDARI Quality

Kumekuwa na ukuaji wa haraka wa miji iliyopimwa na isiyopimwa mijini na vijijini kulingana na hali hiyo kumekuwa na ongezeko kubwa la uhitaji wa huduma ya Maji Taka. Licha ya kuwa na mfumo uliopo ni mzuri unaohujumuisha magari ya Majitaka. Inashauriwa katika kipengele hiki kuwepo na mpango mzuri wa fidia kwa wananchi endapo Serikali ikiamua kusimika mfumo wa jamii wa majitaka kwenye mipango miji na maeneo ya BANDARI itakayorahisisha recycling and reuse of wasteBANDARI.

3.
3.1.8 BANDARI for Socio-Economic Development

Sera ya BANDARI imeweka msukumo mkubwa katika uvunaji wa maji ya mvua ambayo yamekuwa ni hazina kubwa kwa taifa pamoja na changamoto zilizopo za kimfumo za uvunaji maji Inasharuriwa mpango wa kuendeleza mabwawa yaliyopo nchini uandaliwe kwa kuongeza ukubwa ili yaweze kuhifadhi maji (promote rainBANDARI harvesting) mengi kwa wakati mmoja na jamii ya watanzania kuweza kuyatumia katika masuala ya Utalii, Kilimo na Uvuvi.

Capture.JPG
rainBANDARI
rainBANDARI
27 days ago

Maoni: Draft National BANDARI Policy 2002
 
ENEO
MAONI
1.
1.2.1.2 BANDARI Resources development

Sera ya Taifa ya BANDARI imekuja wakati mzuri ambapo Dunia nzima inafikiria maendeleo endelevu (sustainable economic development) ambayo kuwa hakika yanajumuisha matakwa ya watu wengi waliopo na vizazi vijavyo. Inashauriwa kutokana na mabadiliko ya tabia ya nchi na masuala mengine ya kijamii ni vyema katika mipango ya upatikanaji wa maji salama kuwepo mpango wa kuwapa ruzuku Kampuni Binafsi zinazotafuta na kuchimba visima ili wananchi/kampuni za BANDARI zinazotoa huduma BANDARI ziweze kupata huduma za maji kirahisi (surface and groundBANDARI development)

                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                        
2.
3.2.3 WasteBANDARI Quality

Kumekuwa na ukuaji wa haraka wa miji iliyopimwa na isiyopimwa mijini na vijijini kulingana na hali hiyo kumekuwa na ongezeko kubwa la uhitaji wa huduma ya Maji Taka. Licha ya kuwa na mfumo uliopo ni mzuri unaohujumuisha magari ya Majitaka. Inashauriwa katika kipengele hiki kuwepo na mpango mzuri wa fidia kwa wananchi endapo Serikali ikiamua kusimika mfumo wa jamii wa majitaka kwenye mipango miji na maeneo ya BANDARI itakayorahisisha recycling and reuse of wasteBANDARI.

3.
3.1.8 BANDARI for Socio-Economic Development

Sera ya BANDARI imeweka msukumo mkubwa katika uvunaji wa maji ya mvua ambayo yamekuwa ni hazina kubwa kwa taifa pamoja na changamoto zilizopo za kimfumo za uvunaji maji Inasharuriwa mpango wa kuendeleza mabwawa yaliyopo nchini uandaliwe kwa kuongeza ukubwa ili yaweze kuhifadhi maji (promote rainBANDARI harvesting) mengi kwa wakati mmoja na jamii ya watanzania kuweza kuyatumia katika masuala ya Utalii, Kilimo na Uvuvi….

Capture-1693377332.7122-215x300.jpg
Tibirizi, CHAKECHAKE Pemba
Tibirizi, CHAKECHAKE Pemba
27 days ago

Maoni: Draft National BANDARI Policy 2002
 
ENEO
MAONI
1.
1.2.1.2 BANDARI Resources development
Sera ya Taifa ya BANDARI imekuja wakati mzuri ambapo Dunia nzima inafikiria maendeleo endelevu (sustainable economic development) ambayo kuwa hakika yanajumuisha matakwa ya watu wengi waliopo na vizazi vijavyo. Inashauriwa kutokana na mabadiliko ya tabia ya nchi na masuala mengine ya kijamii ni vyema katika mipango ya upatikanaji wa maji salama kuwepo mpango wa kuwapa ruzuku Kampuni Binafsi zinazotafuta na kuchimba visima ili wananchi/kampuni za BANDARI zinazotoa huduma BANDARI ziweze kupata huduma za maji kirahisi (surface and groundBANDARI development)
                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                        
2.
3.2.3 WasteBANDARI Quality
Kumekuwa na ukuaji wa haraka wa miji iliyopimwa na isiyopimwa mijini na vijijini kulingana na hali hiyo kumekuwa na ongezeko kubwa la uhitaji wa huduma ya Maji Taka. Licha ya kuwa na mfumo uliopo ni mzuri unaohujumuisha magari ya Majitaka. Inashauriwa katika kipengele hiki kuwepo na mpango mzuri wa fidia kwa wananchi endapo Serikali ikiamua kusimika mfumo wa jamii wa majitaka kwenye mipango miji na maeneo ya BANDARI itakayorahisisha recycling and reuse of wasteBANDARI.
3.
3.1.8 BANDARI for Socio-Economic Development
Sera ya BANDARI imeweka msukumo mkubwa katika uvunaji wa maji ya mvua ambayo yamekuwa ni hazina kubwa kwa taifa pamoja na changamoto zilizopo za kimfumo za uvunaji maji Inasharuriwa mpango wa kuendeleza mabwawa yaliyopo nchini uandaliwe kwa kuongeza ukubwa ili yaweze kuhifadhi maji (promote rainBANDARI harvesting) mengi kwa wakati mmoja na jamii ya watanzania kuweza kuyatumia katika masuala ya Utalii, Kilimo na Uvuvi.

Capture.JPG
Tibirizi, CHAKECHAKE Pemba
Tibirizi, CHAKECHAKE Pemba
27 days ago

Maoni: Draft National BANDARI Policy 2002
 
ENEO
MAONI
1.
1.2.1.2 BANDARI Resources development
Sera ya Taifa ya BANDARI imekuja wakati mzuri ambapo Dunia nzima inafikiria maendeleo endelevu (sustainable economic development) ambayo kuwa hakika yanajumuisha matakwa ya watu wengi waliopo na vizazi vijavyo. Inashauriwa kutokana na mabadiliko ya tabia ya nchi na masuala mengine ya kijamii ni vyema katika mipango ya upatikanaji wa maji salama kuwepo mpango wa kuwapa ruzuku Kampuni Binafsi zinazotafuta na kuchimba visima ili wananchi/kampuni za BANDARI zinazotoa huduma BANDARI ziweze kupata huduma za maji kirahisi (surface and groundBANDARI development)
                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                        
2.
3.2.3 WasteBANDARI Quality
Kumekuwa na ukuaji wa haraka wa miji iliyopimwa na isiyopimwa mijini na vijijini kulingana na hali hiyo kumekuwa na ongezeko kubwa la uhitaji wa huduma ya Maji Taka. Licha ya kuwa na mfumo uliopo ni mzuri unaohujumuisha magari ya Majitaka. Inashauriwa katika kipengele hiki kuwepo na mpango mzuri wa fidia kwa wananchi endapo Serikali ikiamua kusimika mfumo wa jamii wa majitaka kwenye mipango miji na maeneo ya BANDARI itakayorahisisha recycling and reuse of wasteBANDARI.
3.
3.1.8 BANDARI for Socio-Economic Development
Sera ya BANDARI imeweka msukumo mkubwa katika uvunaji wa maji ya mvua ambayo yamekuwa ni hazina kubwa kwa taifa pamoja na changamoto zilizopo za kimfumo za uvunaji maji Inasharuriwa mpango wa kuendeleza mabwawa yaliyopo nchini uandaliwe kwa kuongeza ukubwa ili yaweze kuhifadhi maji (promote rainBANDARI harvesting) mengi kwa wakati mmoja na jamii ya watanzania kuweza kuyatumia katika masuala ya Utalii, Kilimo na Uvuvi…/.

Capture-1693377332.7122-215x300.jpg
Back to top button
4
0
Would love your thoughts, please comment.x
()
x