“Tafuteni masoko ya nje ,mtajionea wenyewe”

DAR ES SALAAM: Serikali kupitia kituo cha uwekezaji Nchini (TIC) kimewataka wazalishaji wa ndani kujikita katika tafiti za masoko ya nje ikiwemo ulinganifu wa bei ili kuona ni jinsi gani bidhaa hizo zitaweza kuingia katika soko shindani.
Kauli hiyo imetolewa na Mwenyekiti wa bodi (TIC), Dk Binilith Mahenge wakati alipotembelea kiwanda cha Akbalish Hardware and electric kilichopo Pugu jijini Dar es salaam.
Amesema ni wazi kuwa serikali hutegemea zaidi takwimu katika masoko hivyo tafiti hizo zitasaidia katika kupunguza kodi chechefu na kuleta ahueni kwa wazalishaji hao kwa maslahi mapana ya taifa.
Awali akielezea baadhi ya changamato mbalimbali Mkurugenzi Mtendaji wa kiwanda cha Akbalish Hardware and Electric, Juzer Alibhai amesema licha uwekezaji huo lakini masoko ya ndani bado ni changamoto hivyo serikali inapaswa kuliangalia hilo kwa jicho la kipekee.
Kituo cha uwekezaji Tanzania (TIC) kimeendelea na ziara yake katika Mkoa wa Dar es salaam kwenye viwanda mbalimbali lengo ni kujionea hali ya uzalishaji pamoja na kusikiliza changamoto zinazowakumba na kuzifanyia kazi.
I’ve got my first check for a total of 13k dollars. I am so energized, this is whenever I first really acquired something. I will work much harder now and I can hardly hang tight for the following week installment.
.
.
Detail Here——————————————————–>>> http://Www.BizWork1.Com
I have just received my 3rd paycheck which said that $16285 that i have made just in one month by working online over my laptop. This job is amazing and its regular earnings are much better than my regular office job. Join this job now and start making money online easily by
Just Use This Link……..> > > http://Www.Smartcareer1.com
das
Finalement, j’ai fait 145 $/h. Il est temps de passer à l’action et vous pouvez également le rejoindre. C’est un moyen simple, dévoué et facile de devenir riche. Dans trois semaines, vous souhaiterez avoir commencé aujourd’hui. Essayez-le simplement sur le site d’accompagnement.
BONNE CHANCE…. https://payapp24.blogspot.com/
JOIN US I’m making a good salary from home 16580-47065/ Doller week , which is amazing under a year ago I was jobless in a horrible economy. I thank God every day I was blessed with these instructions and now it’s my duty to pay it forward and share it with Everyone,
Here is I started.…………> http://profitguru7.com