NAMSHUKURU Mungu sijambo, bila shaka upo salama na ‘unasongesha’ maisha kama kawaida, vyovyote vile ilivyo hiyo ndiyo hali halisi, unaweza kukwama wewe, sekunde, dakika, saa, na hatimaye siku vitaendelea na ndiyo maana tupo tulivyo, tulizaliwa, tukawa watoto, sasa ni vijana, na tukiendelea kuwa hai tutazeeka.