NI vituko vya aina yake vilivyofanywa hivi karibuni na huenda vinaendelea kufanywa na binti zetu katika mikoa ya Arusha na Dar es Salaam ambavyo nimeona niwamegee wasomaji wangu wa safu hii.
zaidi ya miaka 7 iliyopita
NAMBIE mtu wangu, mambo vipi, pole kwa changamoto zilizopita mwaka uliopita bila shaka mambo si mabaya. Wape ‘hi’ wadau hapo, nawatakia heri na fanaka katika mwaka huu hasa kwa yale yenye manufaa kwao, familia zao na taifa kwa ujumla.
zaidi ya miaka 10 iliyopita
HI, mambo vipi mtu wangu, sema usikike, kuna jipya week end hii mwanangu? Kinaeleweka au ndiyo hivyo tena life linabana.