HIVI karibuni dunia iliadhimisha siku ya mtoto wa kike, ambapo viongozi wa nchi mbalimbali ikiwemo wa Afrika Mashariki, walishiriki katika maeneo yao, kuhakikisha wanaweka mipango na mikakati, itakayohakikisha mtoto wa kike analindwa pamoja na kuondolewa vikwazo katika kutimiza malengo yake.