Tamima Haji aapishwa bungeni

MBUNGE wa Viti Maalumu, Tamima Haji Abass leo amekula kiapo cha uaminifu bungeni.

Aliapishwa asubuhi na Spika wa Bunge, Dk.

Tulia Ackson, wakati wa kikao cha kwanza cha mkutano wa nane.

Tamima Abass aliteuliwa  kuwa mbunge wa Viti Maalumu kwa tiketi ya chama cha Mapinduzi (CCM), akichukua nafasi iliyoachwa wazi kutokana na kifo cha aliyekuwa Mbunge wa Viti Maalumu, Iren Alex Ndyamkama.

Habari Zifananazo

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Back to top button