Tanzania, Afrika Kusini za saini hati ya makubalino

Ni ya kuboresha sekta ya afya

SERIKALI  kupitia Wizara ya Afya imeingia makubaliano na  Afrika Kusini  ya ushirikiano katika sekta ya afya ili  kuboresha zaidi huduma za afya na ushirikiano wa pamoja katika kubadilishana uzoefu na watalaam katika sekta hiyo.

Makubaliano hayo yamefanyika kati ya Waziri wa Afya,  Ummy Mwalimu na Waziri wa Afya Afrika Kusini Dkt. Mathume Joseph Phaahla Jijini Johannesburg, Afrika Kusini.

Viongozi hao wamekubaliana kuwa na mpango wa utekelezaji na ufuatiliaji wa mkataba huo na kutoa taarifa kila mwaka.

“Tanzania na Afrika Kusini zimekuwa na ushirikiano wa muda katika sekta mbalimbali ikiwemo sekta ya Afya, kusainiwa kwa hati hii kutachangia  kuboresha ushirikiano katika sekta ya afya.”Amesema Ummy

Akifafanua  Ummy amesema, nchi hizo mbili zitabadilisha  wataalam wabobezi kwenye fani mbalimbali za afya, kuwezesha mafunzo ya muda mfupi na muda mrefu na kubadilishana teknolojia, kuboresha upatikanaji wa dawa, chanjo na udhibiti wa magonjwa ya mlipuko pamoja na dharura za Afya.

Amesema, ushirikiano kati ya nchi hizo mbili utaimarisha mfumo wa huduma za  rufaa kwa wagonjwa watakaohitaji matibabu nchini Afrika Kusini.

Aidha, amesema ksainiwa kwa hati hiyo ni moja ya maazimio ya Mkutano wa Pili wa mataifa mawili (Bi – National Commission – BNC)  baina ya  Tanzania na Afrika kusini ambapo  Azimio namba  43 lilielekeza kwamba,  hati  ya makubaliano katika sekta ya afya isainiwe  baada ya taratibu zote ambapo Rais  Samia Suluhu Hassan,  wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Rais  Cyril Ramaphosa wa Jamhuri ya Afrika Kusini walisisitiza umuhimu wa kutekeleza maafikiano yaliyofikiwa na kutoa mrejesho wa utekelezaji kwa wakati.

Nae, Waziri wa Afya ya Afrika Kusini, Dkt. Phaahla, amepongeza hatua ya kusainiwa kwa hati ya makubaliano hayo ambayo imefanyika katika kipindi ambacho  dunia nzima inakabiliwa na majanga mbalimbali ya mlipuko ikiwemo mabadiliko ya tabia nchi.

Habari Zifananazo

Subscribe
Notify of
guest
5 Comments
Oldest
Newest Most Voted
Inline Feedbacks
View all comments
KatrinaHewlett
KatrinaHewlett
18 days ago

Single Mom With 4 Kids Lost Her Job But Was Able To Stay On Top By Banking Continuously DOLLER 1500 Per Week With An Online Work She Found Over The Internet… 

Check The Details HERE…..  https://earncash82.blogspot.com/

Last edited 18 days ago by KatrinaHewlett
JoannMiranda
JoannMiranda
18 days ago

Join this most wonderful and cool online home based job and start making more than $700 every day. 6y7 I made $24583 last month, which is incredible, and I strongly encourage you to join and begin earning money from home. Simply browse to this website now for more information.
For Details======>> http://www.SmartCareer1.com

Julia
Julia
18 days ago

My last pay test was ,500 operating 12 hours per week online. My buddy has been averaging 15,000 for months now and she works approximately 20 hours every week. I can not accept as true with how easy it become as soon as i tried it out.
.
.
Detail Here————————————————————>>>  http://Www.BizWork1.Com

yafine
18 days ago

My last month paycheck was for 11000 dollars… All i did was simple online work from comfort at home for 3-4 hours/day that I got from this agency I discovered over the internet and they paid me for it 95 bucks every hour…..> 
.
.
Detail Here——————————>>>
 https://www.pay.salary49.com

Tibirizi Chakechake Pemba
Tibirizi Chakechake Pemba
16 days ago

Job Application

OIP.jpeg
Back to top button
5
0
Would love your thoughts, please comment.x
()
x