Tanzania ina madaktari bingwa wazalendo 2,469

Tanzania ina madaktari bingwa wazalendo 2,469, Bunge limeelezwa.

Naibu Waziri wa Afya, Dk Godwin Mollel ametoa kauli hiyo leo bungeni alipokuwa akijibu swali la Mbunge wa Viti Maalum, Angelina Malembeka aliyetaka kujua Tanzania ina madaktari bingwa wazalendo wa magonjwa ya binadamu wangapi na katika magonjwa gani.

“Hadi sasa Tanzania ina jumla ya madaktari bingwa wazalendo 2,469 ambao wamesajiliwa na Baraza la Madaktari Tanganyika wa fani mbalimbali za udaktari bingwa.

“Kati yao madaktari bingwa 2,098 wapo katika sekta ya umma na madaktari bingwa 371 wapo sekta binafsi. Mheshimiwa Spika, madaktari hawa wamegawanyika katika maeneo 24 ya ubingwa,” amesema Naibu Waziri.

Habari Zifananazo

Subscribe
Notify of
guest
2 Comments
Oldest
Newest Most Voted
Inline Feedbacks
View all comments
juma.kiaramba
juma.kiaramba
19 days ago

Kaagana na Ukoo wake na Kuuangana na Maendeleo ya Tanzania

Capture.PNG
Akamatwa na Madawa
Akamatwa na Madawa
18 days ago

Mdogo wa aliyekuwa Waziri Mkuu, Cleopa Msuya ahamia CHADEMA

KADA maarufu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) kutoka Wilaya ya Mwanga nkoani Kilimanjaro, Samweli David Msuya, amejiunga na Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA).

Msuya ambaye ni mdogo wa Waziri Mkuu wa zamani, Cleopa Msuya, amejiunga na chama hicho kwenye mikutano ya Operesheni Mawaziri Mizigo iliyoanzishwa na Mwenyekiti wa CHADEMA Mkoa wa Kilimanjaro na Mbunge wa Jimbo la Moshi Mjini, Philemon Ndesamburo kuwashitaki mawaziri hao kwa wapiga kura.

Alisema amejiunga na CHADEMA kwani CCM kimekuwa chama cha kudhulumu watu, kulinda mafisadi na kinaibia wanachama wake.

Capture.JPG
Back to top button
2
0
Would love your thoughts, please comment.x
()
x