Tanzania mguu sawa ukaguzi Afcon 2027

WAZIRI wa Utamaduni Sanaa na Michezo Dk Pindi Chana amesema Tanzania ipo tayari kwa ukaguzi unatakaofanywa na shirikisho la soka barani Afrika CAF ili kujiridhisha ikiwa Tanzania, Kenya na Uganda zipo tayari kuandaa Michuano ya Afcon 2027.
 
Hayo yamesemwa Julai 27,2023 Dar es Salaam katika hafla ya kutia saini mkataba wa ukarabati uwanja wa Benjamini Mkapa na Kampuni ya Beijing Construction Engineering Group (BCEG) itakayofanya ukarabati huo .
 
Dk Pindi Chana amesema lengo la ukarabati wa dimba la mkapa ni kuonesha utayari wa Tanzania kuandaa michuano hiyo mikubwa Afrika na dhumuni la serikali ni kuwa na uwanja wa kisasa utakaozivutia nchi nyingine.
 
“Serikali iliridhia ombi la kutaka kuandaa michuano ya Afcon ni lazima tuoneshe kwa vitendo utayari wetu na ndio maana leo tunaweka wazi makubaliano haya na Kampuni hii tunataka kuonesha kuwa tupo tayari, ukarabati ukikamilika tunatamani wengine wajifunze kupitia sisi” amesema Dk Chana.
 
Akielezea zaidi utayari wa Tanzania kulekelea ukaguzi huo utakaofanyika sambamba na ukarabati wa uwanja wa Benjamini mkapa Makamu wa pili wa Rais wa shirikisho la soka TFF Steven Mguto amesema shirikisho hilo litashughulikia ukarabati wa mabenchi ya Ufundi ya uwanja huo.
 
Aidha ameongeza kuwa shirikisho la soka barani Afrika CAF litagharamia matengenezo ya eneo la Kucheza ikiwa ni maandalizi ya michuano ya African Super League inayotarajiwa kutimua vumbi kuanzia mwezi oktoba mwaka huu ambapo klabu ya Simba itashiriki.
 
Wageni kutoka CAF wanatarajiwa kuingia nchini Julai 29 na kufanya ukaguzi kuanzia Julai 30 hadi Agost 1, katika viwanja vya Uhuru, na Benjamini Mkapa, uwanja wa ndege, na hospitali ya Taifa ya Muhimbili na kisha kufanya ukaguzi kama huo Zanzibar kabla ya kikao cha majumuisho kitakachofanyika Zanzibar ambacho kitashirikisha wawakilishi kutoka Tanzania Kenya na Uganda.

Habari Zifananazo

Subscribe
Notify of
guest
6 Comments
Oldest
Newest Most Voted
Inline Feedbacks
View all comments
SharoBates
SharoBates
2 months ago

Single Mom With 4 Kids Lost Her Job But Was Able To Stay On Top By Banking Continuously DOLLER 1500 Per Week With An Online Work She Found Over The Internet… 

Check The Details HERE…..  https://webonline76.blogspot.com/

Last edited 2 months ago by SharoBates
Christy R. Miller
Christy R. Miller
Reply to  SharoBates
2 months ago

I am making really good money (80$ to 100$ / hr. )online from my laptop. I was greatly surprised at the same time as my neighbour advised me she changed into averaging $100 however I see the way it works now. sd370 I experience mass freedom now that I’m my non-public boss.
Everybody should start earning money online by
.
.
using this website____ https://Fastinccome.blogspot.Com/

Last edited 2 months ago by Christy R. Miller
Hudson Leigh
Hudson Leigh
Reply to  Christy R. Miller
2 months ago

I get paid over $220 per hour working from home with 2 kids at home. I never thought I would be able to do it but my best friend earns over $35k a month doing this and she convinced me to try.For Details
.
.
For Details►—————————➤ https://Www.Coins71.Com

Last edited 2 months ago by Hudson Leigh
gajigif330
gajigif330
Reply to  SharoBates
2 months ago

Making an extra $15,000 per month from home by doing easy copy and paste type internet work. I earned $18,000 from this simple at-home job. Everyone may now easily generate additional money online working
.
.

Detail Here———————> >> https://newjobshiring.blogspot.com/

Last edited 2 months ago by gajigif330
Julia
Julia
2 months ago

Making extra salary every month from house more than $15,000 just by doing simple copy and paste like online job. I have received $18,000 from this easy home job. Everybody can now makes extra cash online easily.
.
.
Detail Here———————————————–>>>  http://Www.OnlineCash1.Com

Umbrella (Orange Version)
Umbrella (Orange Version)
1 month ago

MASHINDANO NANI AZIKWE KIONGOZI AU ASIYE KIONGOZI; MWEUPE AU MWEUSI, MVAA VIZURI AU MVAA VIBAYA

MAPINDUZIIII.PNG
Back to top button
6
0
Would love your thoughts, please comment.x
()
x