Tanzania na India zimesaini hati 14 za Makubaliano

INDIA: Tanzania na India  zimetia saini hati za makubaliano 14 na mkataba mmoja, ambapo hati 10 zimehusisha taasisi za serikali na tano ni za sekta binafsi.

Hayo yamebainishwa Oktoba 9, 2023 katika ziara ya kikazi ya Rais Samia Suluhu Hassan nchini India.

Mbali na kusaini hati hizo Rais Samia ameishukuru India kwa kuanzisha kampasi ya kwanza ya chuo cha IIT nje ya India chenye hadhi ya juu katika masuala ya teknolojia visiwani Zanzibar kitakachowanufaisha wanafunzi mbalimbali.

Masuala mengine yaliojadiliwa katika ziara ya Rais Samia ni pamoja na usalama wa mitandao, kushirikisha vijana hasa kupitia vyuo vya VETA, kutoa mafunzo kwa wahandisi wa madini, kushirikiana kwenye kilimo na miradi ya maji.

Rais Samia Suluhu Hassan amesema Tanzania na India zimekubaliana kukuza uhusiano wao wa kihistoria baina ya mataifa hayo mawili kwa kiwango cha ushirika wa Kimkakati.

 

 

Habari Zifananazo

Subscribe
Notify of
guest
4 Comments
Oldest
Newest Most Voted
Inline Feedbacks
View all comments
Work AT Home
Work AT Home
1 month ago

Earn money in USA, high scores from trusted resources. Work at your own pace. Regular Payments. Search in different job categories. Work anywhere on your vs03 computer, laptop or mobile phone. Update your profile at any time.
.
.
Detail Here———->>> http://Www.Smartcash1.com

Gloria Richardson
Gloria Richardson
Reply to  Work AT Home
1 month ago

I’m making $90 an hour working from home. I never imagined that it was honest to goodness yet my closest companion is earning 16,000 US dollars a month by working on the connection, that was truly astounding for me, she prescribed for me to attempt it simply. Everybody must try this job now by just using this website.. http://Www.Easywork7.com

Last edited 1 month ago by Gloria Richardson
HayleyMelinda
HayleyMelinda
1 month ago

[ JOIN US ] I am making a good salary from home $16580-$47065/ Dollars week , which is amazing under a year ago I was jobless in a horrible economy. ( t99q) I thank God every day I was blessed with these instructions and now it’s my duty to pay it forward and share it with Everyone,
Here is I started.…………> http://Www.SmartCareer1.com

Garages&ServiceStations
Garages&ServiceStations
1 month ago

PATA HUDUMA YA MATENGENEZO YA MAGARI KWA MATATIZO YOTE GARI YAKO NA POPOTE ULIPO TANZANIA

NA

MOVABLE KURASINI GARAGE SERVICE STATION

Address: Dar Es Salaam,

,Post Office box: 21493,

Phone number:

022 285 1500

Categories: Garages & Service Stations.

file:///C:/Users/User/AppData/Local/Temp/msohtmlclip1/01/clip_image001.jpg

– PIGA SIMU TUKUHUDUMIE

Back to top button
4
0
Would love your thoughts, please comment.x
()
x