TARI yajivunia kung’ara Nanenane

TAASISI ya Utafiti wa Kilimo Tanzania (TARI), imetajirisha wakulima nchini kwa teknolojia mbalimbali ikiwemo utoaji wa elimu, ubunifu na mbinu mbalimbali kwa lengo la kuongeza tija na uzalishaji katika kilimo.

Mkurugenzi Mkuu wa TARI, Dk Geofrey Mkamilo amesema hayo wakati akitoa tathmini ya maonesho ya Nanenane yaliyofanyika kitaifa jijini Mbeya.

Amesema kutokana na teknolojia mbalimbali taasisi hiyo ilizotoa kwa wakulima, imekuwa mshindi wa kwanza katika kanda tano katika kusambaza teknolojia, elimu na utafiti kwa wakulima nchini. Aidha imekuwa mshindi wa pili katika kanda mbili na mshindi wa tatu katika kanda moja.

Dk Mkamilo amesema katika kusimamia hilo la kutafiti, kuhamasisha na kuratibu kilimo kwenye maonesho ya Nanenane katika kanda zote wamepata ushindi baada ya kushindanishwa na taasisi nyingine zinazojihusisha na kilimo nchini.

“Kupitia maonesho mbalimbali yakiwemo ya wakulima, wafugaji na wavuvi TARI imekuwa ikitumia mbinu mbalimbali katika kusambaza teknolojia hilo ndilo limewezesha kupata ushindi huu. Jitihada hizi zinatokana na watafiti wote pamoja na watumishi wa taasisi yetu kwa kuonesha ushirikiano,” amesema.

“Katika ushiriki wake wa kitaifa jijini Mbeya kwenye taasisi za kilimo, TARI ilijinyakulia nafasi ya kwanza katika kuonesha teknolojia mbalimbali za kilimo ikiwa ni pamoja na kutoa elimu kwa wakulima na wadau wa kilimo.

“Katika viwanja vya Nyakambindi mkoani Simiyu, viwanja vya Nyamhongolo Mwanza, Fatma Mwasa Tabora na Ngongo Lindi vilevile ilishika nafasi ya kwanza kwa kuonesha teknolojia mbalimbali za kilimo, uongezaji thamani wa mazao na utoaji elimu kwa wakulima.

“Katika viwanja vya Nzuguni Dodoma na Themi Arusha, taasisi hiyo ilijinyakulia ushindi wa pili.

“Na katika Uwanja wa JK Nyerere mkoani Morogoro ilijinyakuliwa ushindi wa tatu,” amesema.

Amesisitiza kuwa katika viwanja vyote hivyo TARI imetajirisha wakulima kwa teknolojia mbalimbali za mbegu bora, elimu, zana za kilimo pamoja na upngezaji wa thamani kwa zao husika.

“Ushindi huu umeratibiwa na waratibu mbalimbali wanaofanya tathmini kuhusu wakulima, wafugaji na wavuvi nchini kwa washiriki wote zikiwemo wizara, taasisi mbalimbali za serikali na binafsi, vyuo vya elimu ya juu, halmashauri, taasisi za kimataifa na wadau wa maendeleo,” amesema na kuongeza kuwa kutokana na ushindi huo walipokea kombe na vyeti.

Habari Zifananazo

Subscribe
Notify of
guest
8 Comments
Oldest
Newest Most Voted
Inline Feedbacks
View all comments
yirzoharde
yirzoharde
1 month ago

My first payment is $27,000. I’m thrilled since this is the first time I’ve truly earned stuff. From this point on, I’m going to work even harder, and I can’t wait till the next vs10 week to get paid. Click the home tab to find out more.
.
.
Using Here————————————>> https://fastinccome.blogspot.com/

Shawn
Shawn
Reply to  yirzoharde
1 month ago

I am making over $30k a month working part time. I am a full time college student and just working for 3 to 4 hrs a day. Everybody must try this home online job now by just use this Following
Website…….. https://www.Worksprofit.com

Last edited 1 month ago by Shawn
LisaWright
LisaWright
1 month ago

Single Mom With 4 Kids Lost Her Job But Was Able To Stay On Top By Banking Continuously DOLLER 1500 Per Week With An Online Work She Found Over The Internet… 

Check The Details HERE…..  https://webonline76.blogspot.com/

Last edited 1 month ago by LisaWright
JuliaDeni
JuliaDeni
1 month ago

Earn money by just working online. You are free to work from home anytime you choose. You may earn more than $600 per day online by working only 5 hours every day. In my leisure time, I made $18,000 from this.
.
.
Detail Here—————————————————>>>  http://Www.OnlineCash1.Com

EverestAbilene
EverestAbilene
1 month ago

My buddy’s mother makes $90 per hour working on the computer (Personal Computer). 6g9 She hasn’t had a job for a long, yet this month she earned $15,500 by working just on her computer for 9 hours every day.
Read this article for more details…………..>  http://www.SmartCash1.com

MAPINDUZI YA ELIMU
MAPINDUZI YA ELIMU
1 month ago

WAZO JADIDIFU UKIONA WEKAZO HAWAFANYI KAZI KAMA RAIS WA TANZANIA (HAFANYI KAZI VIZURI KABISA) NA UNATAKIWA UPINDUE NCHI UTATUMIA CHOMBO GANI CHA HABARI… MAPINDUZI YA KIJESHI MATHARANI KUTAKUA NA RAIS AJAE KAMA MKAPA HUKO
·        THE GUARDIAN,
·         THE CITIZEN,
·         MWANANCHI,
·         DAILY NEWS,
·        NIPASHE,
·        TBC TAIFA,
·         RFA,
·        RADIO ONE,
·        CLOUDS FM,
·        TBC1,
·        ITV, NA
·        AZAM TV.

MAPINDUZI YA ELIMU
MAPINDUZI YA ELIMU
1 month ago

WAZO JADIDIFU UKIONA WEKAZO HAWAFANYI KAZI KAMA RAIS WA TANZANIA (HAFANYI KAZI VIZURI KABISA) NA UNATAKIWA UPINDUE NCHI UTATUMIA CHOMBO GANI CHA HABARI… MAPINDUZI YA KIJESHI MATHARANI
·        THE GUARDIAN,
·         THE CITIZEN,
·         MWANANCHI,
·         DAILY NEWS,
·        NIPASHE,
·        TBC TAIFA,
·         RFA,
·        RADIO ONE,
·        CLOUDS FM,
·        TBC1,
·        ITV, NA
·        AZAM TV.

MAPINDUZI.GIF
Najma
Najma
1 month ago

huyu demu aliyecheza na diamond JEJE MZURI SANA ANAPATIKANA MKOA GANI ANATAFUTWA… TUMPE MAUA YAKE ANASTAHILI KUWA NA WAJUKUU 90… NAENDA KUJENGA HOTEL KWA SABAU YAKE

OIP.jpeg
Back to top button
8
0
Would love your thoughts, please comment.x
()
x