TASWA, IPRT wakubaliana kunoa wachambuzi, wasemaji

CHAMA cha Waandishi wa Michezo Tanzania (TASWA) na Taasisi ya Uhusiano wa Umma Tanzania (IPRT), wamesaini makubaliano ya ushirikiano wa kimkakati wenye lengo la kukuza na kuendeleza waandishi wa habari za michezo na tasnia ya michezo kwa ujumla.
Tukio la kusaini Mkataba wa Ushirikiano(MoU) limefanyika leo jijini Dar es Salaam, likihusisha viongozi waandamizi wa taasisi hizo mbili akiwemo Mwenyekiti wa TASWA Amir Mhando, Katibu Mkuu wa chama hicho Alfred Lucas na Mkurugenzi wa IPRT William Kallaghe.
Akizungumza baada ya kusaini makubaliano hayo Kallaghe amesema wamehitimisha mazungumzo ya muda mrefu na uongozi wa chama hicho kuona namna ya kuwepo mafunzo ya kitaaluma na ya sekta ya michezo kwa waandishi wa habari za michezo na wachambuzi wa habari za michezo kwa ujumla hapa nchini.
“Kutakuwa na programu ya mafunzo maalum ya mawasiliano na uongozi, ambayo imeandaliwa kwa ajili ya watendaji wakuu na itajikita katika kuendeleza ufahamu sahihi wa maadili na ujuzi wa ngazi ya chini na juu ili kufikia malengo ya mafanikio kitaasisi.
“Pia kutakuwa na mafunzo ya wazi ya mawasiliano na uongozi, eneo hili ni maalum kwa ajili ya wahariri wa habari za michezo, wasemaji wa klabu na vyama vya michezo, watendaji na mameneja wa ngazi ya kati.
“Mafunzo kwa waandishi wa habari za michezo na wachambuzi, hii ni programu ya mafunzo maalum inayolenga kuwajengea uwezo waandishi wa habari za michezo, waandishi waandamizi wa habari za michezo na wachambuzi wa habari za michezo,” amesema Kallaghe.
‘’Ushirikiano huu unawakilisha hatua muhimu katika kutumia nguvu za mawasiliano yenye ufanisi wa hali ya juu na uongozi thabiti katika kufanikisha ukuaji na maendeleo ya michezo nchini.
“ Tunaamini kwamba kwa kufanya kazi pamoja na TASWA, tunaweza kufikia matokeo ya mazuri zaidi na yenye tija kubwa katika maendeleo ya kimichezo na kiuchumi ya nchi yetu,” amesema Kallaghe.
Lucas amesema eneo lingine ambalo limetiliwa mkazo ni mafunzo ya uwezeshaji wa wanawake waandishi wa habari za michezo ili kuwajengea uwezo zaidi na kuongeza kuwa wamefurahi kuingia ushirikiano huo.
Kwa upande wake Mwenyekiti wa TASWA, Amir Mhando amewaomba wanahabari kushirikiana katika jambo hilo mara baada ya utaratibu huo wa mafunzo kuanza na kusisitiza kuwa ni dhamira ya chama chao kuwafikia wote katika maeneo mbalimbali nchini.
Welcome to the best sex dating site — https://ok.me/wqPA1
I have even managed $20880 merely calendar month by simply working some easy tasks from my apartment. As I had lost my office career, I was very disturbed but luckily I’ve discovered this best on-line career that’s why I’m capable to own thousand USD just from home. Each person can avail this best offer & collect more greenbacks online checking this
.
.
.
web___ https://fastinccome.blogspot.com/
I’ve worked online c2 and been a full-time student this year, earning 64,000 USD so far. I recently discovered an opportunity for an online business, and I’ve been exploiting it sv04 ever since. It’s quite user-friendly, and I’m just glad I just found out about it now. Detail Are Here———————————————————>> http://www.dailypro7.com
Work for 2-3 hours in your spare time and get paid $1000 on your bank account every Make everyone ( £26,000 __ £38,000 ) A Month Online Making nb money online more than £20k just by doing simple work With No Prior Experience Or Skills Required. Be Your Own Boss And for more info visit any tab this site…
. . . .
Open this link. . . . . . . . .>>> http://www.Richcash1.com