TFS yakaribisha wawekezaji ufugaji nyuki

DSM; MAMLAKA ya Misitu Tanzania (TFS), iMEkaribisha wawekezaji kwenye eneo la utalii pamoja na ufugaji nyuki.
Naibu Kamishna Msaidizi wa Uhifadhi kutoka TFS, Zainab Bungwa amesema hayo wakati wa upandaji miti aina ya mikoko katika ufukwe ulioko eneo la Kunduchi mkoani Dar es Salaam.
“Tunakaribisha wawekezaji waweze kuwekeza kwa ajili ya utalii. Na si utalii tu lakini wawekeze kwa ajili ya ufugaji wa nyuki.
” Misitu hii hii hutumika kwenye kuhifadhi mazingira , kwa ajili ya utalii, kutundika mizinga, kwa ajili ya wananchi kuifurahia, kupata matunda na dawa,” amesema.
Amesema pamoja na kukaribisha wawekezaji, wakala huo una mkakati wa kuwajengea uelewa vijana wa Tanzania juu ya uhifadhi wa misitu, kuwapatia utaalam na kuwapa miche ya kupanda.
“Lakini tumeendelea kupandisha hadhi misitu iwe misitu ya hifadhi ya mazingira asilia.
” Misitu ya hifadhi asilia huruhusiwi kufanya uharibifu wowote, lakini unaruhusiwa kuingia kufanya tafiti, pia kuendeleza kwa maana ya kuwekeza. Kwa hiyo mkakati wetu ni kuhakikisha nchi inakuwa ya kijani,” amesema.
Amesema mabadiliko ya tabianchi yameathiri dunia na Tanzania hivyo vijana wa Tanzania wameungana na vijana wengine kutoka nchi 24 duniani kupanda mikoko.
Naye Mwakilishi na Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo Uongozi wa Vijana cha Kimataifa, Ejat Ahmed ameisema mikoko inasaidia kuchuja hewa chafu.
Amesema katika kongamano la pili la kimataifa la viongozi vijana la mabadiliko ya Tabianchi lililofanyika mkoani Dar es Salaam, limeshirikisha vijana zaidi ya 200 kutoka nchi 24 duniani.
Kwa upande wake mwanamazingira kutoka nchini Zambia, Martine Mlenga ameipongeza serikalli ya Tanzania kupitia TFS kwa jitihada zake za kuhakikisha inahifadhi mazingira.
CHAGUA CHAMA! CHAGUA MTU! 2023 MWANAMKE AWE KAZI:!?
Mwanaume mmoja raia wa Misri amejichoma moto, kisha kuokolewa na polisi na wapita njia katika uwanja wa Tahrir, jijini Cairo, mtu huyo alifanya hivyo kupinga “rushwa na hali mbaya ya maisha”…
Katika matangazo ya moja kwa moja ya Facebook, mwanaume huyo alisema maisha yake yameharibiwa na kuwa hana uwezo wa kupata kipato
I’ve gained only within four weeks by comfortably working part-time from home. Immediately when I had lost my last business, mtg I was very troubled and thankfully
following website___________ http://Www.Careers12.com
CHAGUA CHAMA! CHAGUA MTU! 2023 MWANAMKE AWE KAZI:!?
Mwanaume mmoja raia wa Misri amejichoma moto, kisha kuokolewa na polisi na wapita njia katika uwanja wa Tahrir, jijini Cairo, mtu huyo alifanya hivyo kupinga “rushwa na hali mbaya ya maisha”…
Katika matangazo ya moja kwa moja ya Facebook, mwanaume huyo alisema maisha yake yameharibiwa na kuwa hana uwezo wa kupata kipato…..
CHAGUA CHAMA! CHAGUA MTU! 2023 MWANAMKE AWE KAZI:!?
Mwanaume mmoja raia wa Misri amejichoma moto, kisha kuokolewa na polisi na wapita njia katika uwanja wa Tahrir, jijini Cairo, mtu huyo alifanya hivyo kupinga “rushwa na hali mbaya ya maisha”…
Katika matangazo ya moja kwa moja ya Facebook, mwanaume huyo alisema maisha yake yameharibiwa na kuwa hana uwezo wa kupata kipato….
CHAGUA CHAMA! CHAGUA MTU! 2023 MWANAMKE AWE KAZI:!?
Mwanaume mmoja raia wa Misri amejichoma moto, kisha kuokolewa na polisi na wapita njia katika uwanja wa Tahrir, jijini Cairo, mtu huyo alifanya hivyo kupinga “rushwa na hali mbaya ya maisha”…/
Katika matangazo ya moja kwa moja ya Facebook, mwanaume huyo alisema maisha yake yameharibiwa na kuwa hana uwezo wa kupata kipato
CHAGUA CHAMA! CHAGUA MTU! 2023 MWANAMKE AWE KAZI:!?
Mwanaume mmoja raia wa Misri amejichoma moto, kisha kuokolewa na polisi na wapita njia katika uwanja wa Tahrir, jijini Cairo, mtu huyo alifanya hivyo kupinga “rushwa na hali mbaya ya maisha”…\\
Katika matangazo ya moja kwa moja ya Facebook, mwanaume huyo alisema maisha yake yameharibiwa na kuwa hana uwezo wa kupata kipato
CHAGUA CHAMA! CHAGUA MTU! 2023 MWANAMKE AWE KAZI:!?/
Mwanaume mmoja raia wa Misri amejichoma moto, kisha kuokolewa na polisi na wapita njia katika uwanja wa Tahrir, jijini Cairo, mtu huyo alifanya hivyo kupinga “rushwa na hali mbaya ya maisha”…
Katika matangazo ya moja kwa moja ya Facebook, mwanaume huyo alisema maisha yake yameharibiwa na kuwa hana uwezo wa kupata kipato
CHAGUA CHAMA! CHAGUA MTU! 2023 MWANAMKE AWE KAZI:.!?
Mwanaume mmoja raia wa Misri amejichoma moto, kisha kuokolewa na polisi na wapita njia katika uwanja wa Tahrir, jijini Cairo, mtu huyo alifanya hivyo kupinga “rushwa na hali mbaya ya maisha”…
Katika matangazo ya moja kwa moja ya Facebook, mwanaume huyo alisema maisha yake yameharibiwa na kuwa hana uwezo wa kupata kipato
CHAGUA CHAMA! CHAGUA MTU! 2023 MWANAMKE AWE KAZI:!?
Mwanaume mmoja raia wa Misri amejichoma moto, kisha kuokolewa na polisi na wapita njia katika uwanja wa Tahrir, jijini Cairo, mtu huyo alifanya hivyo kupinga “rushwa na hali mbaya ya maisha”…;
Katika matangazo ya moja kwa moja ya Facebook, mwanaume huyo alisema maisha yake yameharibiwa na kuwa hana uwezo wa kupata kipato
★My buddy’s mother makes $90 per hour working on the computer (Personal Computer). ( y77q) She hasn’t had a job for a long, yet this month she earned $15,500 by working just on her computer for 9 hours every day.
Click and Copy Here══════►►► http://Www.SmartCareer1.com