Timu nne kundi la Stars zafungana pointi

MSIMAMO wa kundi E lenye timu sita, timu nne zina pointi 3 ikiwemo Tanzania, licha ya kuwa mbele kwa mchezo mmoja dhidi ya Morocco na DR Congo ambao hawana alama yoyote.

Baada ya kupoteza leo mabao 2-0 dhidi ya Morocco, Tanzania imeshuka hadi nafasi ya nne katika msimamo wa kundi hilo lenye timu za Zambia, Morroco, Eritrea, DR Congo, na Niger.

Niger na Zambia wana pointi sawa na Tanzania 3 na wote wameshacheza michezo miwili.

Eritrea hawashiriki kwa sababu walishajiondoa kwenye kushiriki kufuzu Kombe la Dunia.

Habari Zifananazo

Subscribe
Notify of
guest
2 Comments
Oldest
Newest Most Voted
Inline Feedbacks
View all comments
kujipiga NONDO NA KUJICHUNA NGOZI
kujipiga NONDO NA KUJICHUNA NGOZI
10 days ago

Ajiuwa kwa kujipiga NONDO NA KUJICHUNA NGOZI na kumpelekea bosi wake – kwa sababu ya mapenzi na kutakiwa kujua maisha ya watu wengi zaidi ya million 7

Capture.JPG
kujipiga NONDO NA KUJICHUNA NGOZI
kujipiga NONDO NA KUJICHUNA NGOZI
10 days ago

Ajiuwa kwa kujipiga NONDO NA KUJICHUNA NGOZI na kumpelekea bosi wake – kwa sababu ya mapenzi na kutakiwa kujua maisha ya watu wengi zaidi ya million 7..

Capture.JPG
Back to top button
2
0
Would love your thoughts, please comment.x
()
x